Rais Kikwete afungua mkutano wa baraza la vyama vya siasa

Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake kwenye ufunguzi wa mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa leo Februari 6, 2014 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam.
viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa wakati wa ufunguzi wa  mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam.
Viongozi walitanguliza neno la mungu kabla ya mkutano kuanza ikiwa ni ishara ya amani miongoni mwao wote licha ya tofauti zao za kisiasa.

Comments

Popular

GIDABUDAY KUHAMASISHA UJENZI WA KIJIJI CHA MICHEZO TANZANIA LENYE JINA YA MWANARIADHA MKONGWE BW.JOHN STEPHEN AKHWARI

Rio Olympics: Brazil win men's volleyball gold, GB's Joyce takes boxing silver – as it happened

Olympics 2016: Usain Bolt completes sprint double, Jade Jones retains taekwondo title

Rio Olympics: Swimmer Lochte apologises for 'robbery' saga