Mwanamichezo ateuliwa Waziri Mkuu

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Rais John Pombe Magufuli leo amemteua waziri mkuu mpya ambaye amejinadi kama mwanamichezo.


Kassim Majaliwa hii leo ameapishwa kuwa wazii mkuu baada ya kuteuliwa na rais hatimaye kupitishwa na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa waziri mkuu mpya wa serikali ya awamu ya tano.


“Mimi ni mwanamichezo, ni kati ya wakufunzi 27 wa TFF, nitamwelekeza rais amteue waziri wa michezo anayefaa kwani michezo itatutangaza kimataifa” Hayo ni baadhi ya maneno yake waziri mkuu mpya.

Comments

Popular

GIDABUDAY KUHAMASISHA UJENZI WA KIJIJI CHA MICHEZO TANZANIA LENYE JINA YA MWANARIADHA MKONGWE BW.JOHN STEPHEN AKHWARI

Rio Olympics: Brazil win men's volleyball gold, GB's Joyce takes boxing silver – as it happened

Olympics 2016: Usain Bolt completes sprint double, Jade Jones retains taekwondo title

Rio Olympics: Swimmer Lochte apologises for 'robbery' saga