Suleiman Nyambui: Tujitoe katika mashindano ya Jumuia za Madola

Suleiman Nyambui
Akizungumza na shirika la habari la BBC leo asubuhi Suleiman Nyambui alikiri Tanzania haina uwezo wa kupata medali hivyo ni bora tukajitoa kukwepa aibu.

Nyambui amekaririwa akisema hivyo wakati siku chache zilizopia alikaririwa na Star Tv akijigamba kwamba sasa tutashinda medali baada ya kuwepo na taarifa kwamba timu za Tanzania zitapelekwa nchi za nje kufanya mazoezi kwa msaada wa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mheshimiwa Bernard Membe.


Tuamini lipi kati ya maneno yaliyosemwa na mtu huyo huyo katika vyombo tofauti vya habari?

Comments

Popular

GIDABUDAY KUHAMASISHA UJENZI WA KIJIJI CHA MICHEZO TANZANIA LENYE JINA YA MWANARIADHA MKONGWE BW.JOHN STEPHEN AKHWARI

Rio Olympics: Brazil win men's volleyball gold, GB's Joyce takes boxing silver – as it happened

Olympics 2016: Usain Bolt completes sprint double, Jade Jones retains taekwondo title

Rio Olympics: Swimmer Lochte apologises for 'robbery' saga