Posts

Showing posts from January 5, 2014

Mazishi: Waziri mkuu wa zamani wa Izrali Ariel Sharon afariki dunia hivi punde

Image
Sharon/enzi za uhai wake Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Izraeli Ariel Sharon amefariki dunia hivi punde akiwa na umri wa miaka 85, vyombo vikubwa vya habari ulimwenguni vimeripoti. Sharon aliyekuwa mahatuti kwa takriban miaka minane amefariki dunia hii leo akiwa amezungukwa na ndugu na familia ambao kwa siku za hivi karibuni walionyesha kukata tamaa. Sharon alikuwa akitibiwa katika hospitali ya Sheba Medical Center nje kidogo ya mji wa Tel Aviv.

Obituary: Divisive political and military figure (Ariel Sharon)reversed his hardline stance to oversee the Israeli pull-out from Gaza as PM

Image
The late Ariel Sharon Ariel Sharon, who has died aged 85, was for decades one of Israel's most controversial figures.  Long the darling of the far-right, Sharon angered Arabs and Israeli doves by championing Jewish settlement on land taken in the 1967 Middle East war.  The Arab world reviled Sharon for masterminding the 1982 invasion of Lebanon, during which Israel's Lebanese Christian allies massacred Palestinians in two refugee camps. Sharon was forced to resign as defence minister after an Israeli inquiry found him indirectly responsible for failing to prevent the killings. His provocative visit to Islam's third holiest site, al-Haram al-Sharif (The Noble Sanctuary), while opposition leader, was said to have sparked the second Palestinian intifada (uprising) in September 2000. Sharon shocked Jewish ultranationalists in 2003 by announcing he would "disengage" Israel from fighting with the Palestinians by removing all 21 settlements in the

Obituary: Israel's former Prime Minister Ariel Sharon dies, aged 85

Image
Ariel Sharon has just died Former Israeli Prime Minister Ariel Sharon has died aged 85 after spending eight years in a coma following a stroke. Mr Sharon was a giant of the Israeli military and political scene, but courted controversy throughout his long career. He was being treated at the Sheba Medical Center outside Tel Aviv. A hospital statement is expected shortly. SOURCE: bbc.co.uk

MT. KILIMANJARO TO HOST THE FIRST EVER PARAGLIDING EVENT IN TANZANIA

Image
Coordinators Paula Mc Rae & P. Shelutete By Pascal Shelutete - Public Relations Manager   Tanzania National Parks (TANAPA) in collaboration with an Australian company “Wings of Kilimanjaro” will host the first ever Paragliding event on Mount Kilimanjaro from 27th January, 2013 to 6th February, 2013.   A group of more than 100 adventurers and philanthropists from 25 countries from around the globe will come together to Tanzania to climb and fly from the Roof of Africa. The team, who will be one of the largest ever groups to attempt the world’s tallest free standing mountain, aim to ascend the 5,895m high peak and fly from the summit. “Wings of Kilimanjaro” will donate 100% of money raised to support the charities of “One Foundation”, “Plant with Purpose” and “WorldServe International”. These organizations are undertaking ground-breaking work in East Africa to address the severe problems of poverty in rural communities, deforestation and humanitaria

TENNIS: Tanzania Tennis Association to host East African Junior Championships

Image
(L-R) E.Mallya, O.Sulle & F.Menard Tanzania will host East African Junior Championships from January 11 th to January 17 th , 2014 at the countries’ famous sports grounds Dar Es Salaam Gymkhana Club located at the center of the city. According to the Vice President of Tanzania Tennis Association Fina Mango the games will be organized by Tanzania Tennis Association in collaboration with the local sponsors. International Tennis Federation has sent a grant to help for the championships.  The championships is expected to include the arrival of neighboring countries such as Kenya, Burundi, Rwanda, Djibouti, Eritrea,  Ethiopia, Sudan, Seychelles and the host country Tanzania. Tanzania is expected to have two teams (A & B) that will total 24 players for boys and girls who are to be between the ages of 12, 14 & 16. “Is our expectation that we will outperform the field because we are going to use our home ground benefits” Coach Hassan Kassim said. “We are lu

Obituary: The ITF is saddened to learn of the death of junior player Prayoga Achmadi on Thursday 19 December

Image
The 15-year-old from Indonesia collapsed on court during a semifinal match against Bryan Husin at the FIKS Open, a boys’ under 16 national tournament held at Maluku Park tennis courts in Bandung, Indonesia. "He collapsed on the field,” said tournament director Ganjar Kurnia. “The medical team [was] deployed to centre field to give relief [before Achmadi] was taken in critical condition to the hospital, which is about 300 meters from the ground.” Achmadi reached a career-high No. 1272 in the combined junior world rankings earlier this month, soon after winning the doubles crown alongside Tio Juliandi Hutauriuk at the Grade 5 48th Brunei ITF Junior Circuit event in Bandar Seri Begawan, Brunei. One of the more promising players from Indonesia, Achmadi was selected for the ITF High Performance Training Camp in Bangkok in 2012 and had a bright future ahead of him.   SOURCE: itftennis.com

Rais Jakaya Kikwete aongoza umati wa watanzania kumzika aliyekuwa waziri wa fedha Dr.William Mgimwa jimboni Kalenga Iringa

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe Mama Salma Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga Marehemu William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, jana.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete  akiwapa mkono wa pole wananchi wa Kalenga  wakati wa mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Kalenga William Mgimwa kijijini kwake Magunga jimbo la Kalenga, Iringa, leo Desemba 6, 2014 SOURCE: wordpress.com

Waziri Mkuu Pinda apokea mwili wa Dkt. Mgimwa Iringa

Image
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Jane Kakingo Mgimwa, mjane wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya mwili wa marehemu kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli Iringa  Desemba 5, 2014 kwa ajili ya mazishi  yanayotarajiwa kufanyika kijijini Magunga Desemba  6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishuhudia wakati mwili wa  aliyekuwa  Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati ulipowasili kwenye uwanja wa ndege  wa Nduli Iringa Desemba 5,2014 kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika  Desemba 6, 2014 kijijini  Magunga. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)   SOURCE: dewjiblog.com