Posts

Showing posts from October 13, 2013

Ruksa serikali kushiriki kukimbiza kifimbo cha Malkia lakini haramu serikali kuhoji ufisadi ndani ya TOC

Image
Rais Kikwete akiwa na timu ya Olimpiki London 2012 Je serikali ya Tanzania ni serikali ya kuchezewa kihivyo na genge la mafisadi wanaijidai wao hawaguswi na serikali?  Je raisi wetu Mheshimiwa Jakaya Kikwete atafurahia ‘kijifimbo’ cha Malkia badala ya kupewa ripoti ya USD 100,000 zilizopakuliwa India? Kama kawaida ya sera yetu ya “UTAIFA KWANZA” tunaiomba serikali kupitia Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na Wizara ya Habari, Vijana,  Utamaduni na Michezo watafakari mambo yafuatayo: -           Kwamba TOC inauma na kupuliza; wanatabasamu kwa serikali wakati wanajiseti kwa “ P icture Perfect” pale tu wanapotaka kudanganya ulimwengu kwamba wao ni vinara nchini. -           Kwamba TOC ipo radhi kumpata rais wa Jamhuri ya Muungano ajumuike nao ili wazitumie zile picha kuchota fedha ambazo wanajengea mahekalu yao watanzania tukiishia patupu. -           Kwamba wakati wa uchaguzi wa TOC Desemba 8 2012 Dodoma TOC ilihakikisha hakuna serikali inaingia ndani ya u

ARCHIVES: Eaton wins Morogoro ladies Open golf title

Image
Angel Eaton Angel Eaton of the Dar es Salaam Gymkhana Club (DGC) proved her exceptional skills when she won the Morogoro Open Ladies Golf Championship after carding 236 total gross at the Morogoro Gymkhana Club . “I’m extremely happy to clinch the title,” said the soft-spoken lady, who also plays for the national team. Eaton carded 80 gross in the first round one of the-two-day event. She also collected 76 points in the second round before she made her way clear to the title by earning 80 gross in the final lap. Defending champion Madina Idd did not appear for the event, which is the Tanzania Ladies Golf Union (TLGU) Order of Merit championship. The second spot went to Neema Olomi, who scored 87, 82 and 84 points in all three rounds to earn 253 gross. Chiku Elias was the net winner with 273 points while her sister Vickey Elius also had the same points but was placed second on count-bank. Rosey Nyenza emerged bronze net winner with 223 while the runne

Spoti Kizaazaa hewani TBC: Kituo chako cha televisheni ya Taifa

Image
Ally Hozza ni miongoni mwa watoa hoja Ndugu wapendwa kile kipindi kinachopendwa na watanzania wengi kutokana na kuwa mstari wa mbele kutoa ukweli kuhusu kudorora kwa michezo nchini kinarudi hewani. Spoti Kizaazaa kinarudi kwa kishindo kupitia Televisheni ya Taifa (TBC), kituo kinachobeba kauli mbiu ya "Ukweli na Uhakika". Kitakuwa kinarushwa kila Jumapili saa TATU UNUSU usiku. Awali Spoti Kizaazaa kilikuwa kikirushwa na ITV, hadi mkataba wa muda ulipoisha ndipo kikakwama kwa muda wakati mpango mwingine mzuri zaidi ukisukwa na waandaaji wa kipindi hicho maarufu sana. Awali mjumbe moja wa Kamati ya Olimpiki Tanzania ( Peter Mwita ) alinukuliwa na "Private Investigator" akidai kwamba "Fedha nyingi za TOC ndio zimezima vuguvugu la Spoti Kizaazaa lililojaa genge la wahuni".  Kauli hiyo haikuwafurahisha wengi lakini sasa furaha imerudi na nukuu hizo zenye thamani ya bia mbili hazitunyimi wanaharakati wa michezo usingizi. Wote mnakarib

Nyerere Day: Je Nyerere anakumbukwa kimaneno ama anakumbukwa kiukweli?

Image
Ukisoma maneno kutoka katika "nukuu zake" utaona kwamba alichokisema nyakati zileee.. 'enzi za mwalimu' ndiyo yanafanyika kinyume na alivyokuwa akitaka; mbaya zaidi wale wanaodai kumpenda Nyerere ndiyo kwanza wanaoendekeza balaa la kuiuza nchi. Mfano upo wazi: Hivi sasa Wilaya nyingi Tanzania tu nashuhudia migogoro ya ardhi inayosukwa na wakuu wa sehemu husika, lakini uchonganishi unawakumba wafugaji na wakulima! Hivi jamani watanzania haya maneno ya mwalimu yanazingatiwa?.

New course record set during the 36th annual Chicago Marathon

Image
Dennis Kimetto, of Kenya, breaks the Bank of America Chicago Marathon course record. (Jose M. Osorio, Chicago Tribune)   By Jeremy Gorner, John Keilman, Geoff Ziezulewicz and Kim Geiger Tribune reporters

Watch The Chicago Marathon Live Online

Image
Viewers can watch the Bank of America Chicago Marathon for free on the Web. Photo: OhioRunning And there’s no catch: it’s free. Written by: David Monti Fans can watch the Bank of America Chicago Marathon live online and free of charge this Sunday, thanks to the race’s broadcast partner, NBC Chicago. Race organizers reported this morning that fans can connect to http://www.nbcchicago.com at 7:00 a.m. Central time (8:00 a.m. Eastern, 1:00 p.m. GMT) to watch NBC Chicago’s full broadcast.  The free live stream is available globally, organizers said. This is the first time that the race has been available for free global viewing online. The Bank of America Chicago Marathon is the second-largest marathon in the country will enjoy its 34-year anniversary this Sunday. It attracts 45,000 runners annually. This year’s edition is expected to be warm with temperatures nearing 70 degrees Fahrenheit three hours into the race. A world-class field has been assemble