Posts

Showing posts from August 11, 2013

KAMANDA (RT) ATOKA NDUKI MOSCOW, ASEMA “TUMESHINDWA”

Image
Rais wa chama cha riadha Tanzania (RT) Anthony Mtaka amerejea Tanzania wakati wanariadha wawili wakiwasili Moscow tayari kwa mashindano. Kiongozi huyo aliyetangulia siku kadhaa kabla ya wachezaji amerudi akiwa na hasira isiyo na kifani, akizilaumu vyombo vya habari kwa kile alichodai kwamba “wanahabari wanawasikiliza watembea miguu wasio na tija katika mchezo wa riadha na kuwaacha wao wenye akili zao”. Pia alinukuliwa akimwaga lawama kwa makampuni ya kitanzania kwa kukataa kudhamini chama cha riadha. “Tumeandika maandiko mengi kwa robo tatu ya makampuni nchini, lakini hamna hata kampuni moja iliyokubali” alihoji Mtaka wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam jana. Sababu ya makampuni kukataa: Wakurugenzi wa makampuni wanajali sheria ambapo kabla ya kuidhinisha udhamini katika taasisi yoyote,  ‘ cross checks na double checks’ hufanyika kwanza, ambapo kasoro zikipatikana udhamini hautolewi.   Chama cha Riadha hakikufuata katiba wakati wa uchaguzi mk

Mo Farah reaches World 5,000m final to keep alive double hopes

Image
Mo Farah's bid to add the World 10,000m and 5,000m titles to his Olympic golds remains on track after he eased into the final over the shorter distance. The defending champion was fifth in his heat, the final automatic qualifying position, in 13 minutes 23.93 seconds. If he wins Friday's final, Farah will emulate Ethiopia's Kenenisa Bekele and become the second man to win 10,000m and 5,000m Olympic and World titles. "You have to do the job without going crazy," the Briton told BBC Sport.  "My body feels good, the team have been looking after me well and I'm recovering well." The 30-year-old, who won the distance double at the London 2012 Olympics, became the first British man to win a 10,000m world title last Saturday. And he began his defence of the 5,000m crown he won in Daegu in 2011 in comfortable fashion. He was in third or fourth for much of the heat befor

BARUA YA WAZI KUTOKA KWA MWANARIADHA WA ZAMANI WA TANZANIA

Image
Wazee, Nakumbuka sana wakati nilikuwa nasoma Kibasila Secondary School pale Chang'ombe karibu na uwanja wa chuma yaani uwanja wa taifa, kila mara nikitoka shuleni nilikuwa napita pale uwanjani ili nikawaone wanariadha wa timu ya JWTZ na JKT wakifanya mazoezi ya uwanjani. Nawakumbuka wakina Gwangwai, Kijuu, Ndemandio, Francis John na wengineo ambao walikuwa wakifanya mazoezi ya mbio za mita 10,000, walikuwa wakipiga mita 400x20 wanapunzika kwa kujogi mita 200 na walikuwa wakizipiga sekunde 60 kila moja na mbili za mwisho walikuwa wakizipiga kwa sekunde 56. Upande mwingine walikuwa Musa Luliga, Kijuu na Marwa kwa jina jingine Alberto Juantorena wanapiga mita 300x15 walikuwa wanazipiga kwa sekunde 36 na ya mwisho wanaileta kwa sekunde 34. Hawa jamaa zetu walikuwa hawapati mialiko tuu, wao walikuwa wanasubiri michezo ya majeshi, nina hakika kama wangepewa nafasi ya kwenda Oslo, Berlin au Stockholm Grand Prix wangefanya maajabu kabisa. Jamani tuwakumbuke hawa ndu

HATIMAYE WANARIADHA WAWILI WAONDOKA ALFAJIRI YA LEO; WAAMBWA WAENDE NA BUKTA NA SINGLET ZA LINING, KAMA HAWANA WAAZIME UDHAMINI WAO UMEKWAMA

Image
   Baada ya viongozi wa RT kutangulia Moscow wiki jana hatimaye wanariadha wawili wameondoka leo kwa kutumia shirika la ndege ya Uturuki (Tarkish Airlines) kwenda Moscow Urusi. Wanariadha hao wanaokusudiwa kushiriki mbio za Marathon ni Msenduki Mohamed na Phaustin Musa ambao pia walikuwemo katika timu iliyokwenda Olimpiki ya London mwaka jana. Kabla ya kuondoka mmoja wao alihangaika usiku na mchana kutafuta namna ya kupata kibali cha kikazi (JWTZ), jukumu ambalo lingetakiwa kusimamiwa na viongozi wa RT waliotangulia ama basi wale waliobakia ofisini. Hata hivyo siku nne zilizopita (mimi) niliongea na mwanariadha huyo ambaye alionyesha hali ya kukata tamaa kwa kile alichodai kwamba "kazi yangu ni kufanya mazoezi ili nikaiwakilishe nchi yangu kwa uwezo wangu wote, hata hivyo kwa sababu wahusika wa RT hawanipi ushirikiano itabidi nijitose kwani Tanzania ni nchi yangu pia", alisema mwanariadha huyo ambaye aliomba namba ya simu ya ofisa moja mstaafu wa jeshi amjulishe hali

WAKATI BADO NAKIMBIA SIKUJUA HUJUMA TULIZOKUWA TUNAFANYIWA SISI WANARIADHA

Image
Wakati bado ninakimbia, katika jimbo la California pamoja na mdogo wangu Julius Gidabuday ambae kwa sasa yupo South America akiendelea kushiriki mashindano ya kimataifa.

MOH FARAH WINS 10,000m TITLE AT WORLD CHAMPIONSHIPS IN MOSCOW:

Image
  By Aimee Lewis BBC  Coverage: Live on BBC TV, BBC Radio 5 live, BBC Sport website, mobiles, tablets and Connected TVs. Double Olympic champion Mo Farah created history once again in Moscow as he became the first British man to win a 10,000m world title. A year on from winning the 10,000m and 5,000m in London, the 30-year-old moved a step closer to repeating his Olympic feat in the Russian capital. The Londoner saw off 2011 champion Ibrahim Jeilan in a thrilling sprint finish, crossing the line in 27 minutes and 21.71 seconds. Ethiopia's Jeilan (27:22.23) had to settle for silver, just as Farah did at the World Championships two years ago, while Paul Tanui (27:22.61) secured bronze for Kenya. Farah's victory brought the Great Britain team their first medal of the World Championships on the opening day. "I had the experience from two years ago," Farah told BBC Sport. "I knew I just had to cov