Posts

Showing posts from February 2, 2014

RIADHA HARD TALK 2014: RT yabariki mjadala wa riadha Holili

Image
SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT), limeimwagia sifa klabu ya Holili Youth Athletics (HYAC) iliyoko Holili, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro kwa kuandaa mjadala wa kujadili changamoto zinazokabili mchezo wa riadha nchini. Mjadala huo utafanyika kesho katika ukumbi wa Moshi Club ulioko pembezoni mwa mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro, ambapo zaidi ya wadau 100 wanatarajiwa kushiriki. Akizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu, Katibu Mkuu wa RT, Suleiman Nyambui, alisema shirikisho lake limetoa baraka zote kwa klabu hiyo na mjadala huo na kutoa wito kwa wanamichezo wenye nia njema na maendeleo ya riadha kujitokeza kwa wingi kushiriki. Nyambui, aliwataka wadau wa riadha waelewe kwamba mjadala huo haujaandaliwa kwa ajili ya kusutana bali kuunganisha akili kuangalia mbinu za kutatua changamoto zinazokabili michezo hapa nchini. “Watanzania na wapenzi wa riadha waelewe kwamba mjadala huu utalenga kujadili matatizo yetu kama taifa katika riadha na kuangalia mbele, t

Wajumbe Bunge la Katiba: Uwiano kati ya Bara na Zanzibar, jinsia imekizingatiwa

Image
Dk. Florens Turuka (kulia) akitangaza majina TAASISI ZISIZO ZA KISERIKALI: Magdalena Rwebangira, Kingunge Ngombale Mwiru, Asha D. Mtwangi, Maria Sarungi Tsehai, Paul Kimiti, Valerie N. Msoka, Fortunate Moses Kabeja, Sixtus Raphael Mapunda, Elizabeth Maro Minde, Happiness Samson Sengi, Evod Herman Mmanda, Godfrey Simbeye , Mary Paul Daffa, Idrissa Kitwana Mustafa, Siti Abbas Ali, Abdalla Abass Omar, Salama Aboud Talib, Juma Bakari Alawi, Salma Hamoud Said na Adila Hilali Vuai. TAASISI ZA KIDINI: Olive Damian Luwena, Shamim Khan, Mchungaji Ernest Kadiva, Sheikh Hamid Masoud Jongo, Askofu Mkuu (Mstaafu) Donald Leo Mtetemela, Magdalena Songora, Hamisi Ally Togwa, Askofu Amos J. Muhagachi, Easter Msambazi, Mussa Yusuf Kundecha, Respa Adam Miguma na Profesa Costa Ricky Mahalu, Sheikh Thabit Nouman Jongo, Suzana Peter Kunambi, Sheikh Nassoro Mohammed Ibrahimu, Fatma Mohammed Hassan, Louis Majaliwa, Yasmin Yusufali E. H Alloo na Thuwein Issa Thuwein. VYAMA VYA SIASA: Hashim

Winter Games: A new terror threat at the Sochi Olympics

Image
A video was posted today on a Chechen extremist site, showing two potential terrorists promising a “surprise package” for the Sochi Olympics. The two men were casually advising President Putin to withdraw forces from the the North Caucasus region, which is close to the Olympics city, Sochi. In addition to the threat provided, the video continued to show disturbing footage. Included in the footage is the two suicide bombs that occurred in December in the city of Volgograd. This provocative move shows there is a significant tie potentially between these men and the events that transpired last month, taking dozens of lives. SOURCE: guardianlv.com

KATIBA MPYA: Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutangazwa muda wowote

Image
Habari za zinazosubiriwa kwa hamu na watanzania ni kutangazwa kwa majina ya wabunge 201 watakao ungana na wabunge wa Jamhuri ya Muungano kujadili mustakabali wa katiba ijayo. Hii itakuwa ni bunge la aina yake tangu taifa letu lipate uhuru sababu bunge hilo litahusisha makundi mbali mbali ya watanzania. Kuanzia vyama vya siasa, Asasi binafsi, makundi ya wakulima na wafugaji, walemavu na makundi mengine ya kijamii huku swala la JINSIA likitiliwa maanani. Hofu kubwa na msisimuko umewakumba wale ambao wamebahatika majina yao kupelekwa, ikiwa ni jumla ya majina 3774 ambayo yatapna mheshimiwa rais na hatimaye kupatikana majina 201. Endelea kufuatilia habari hizi mhimu na za kihistoria katika gidabuday.blogspot.com

Winter Olympics 2014: Sochi’s day of reckoning has finally come

Image
Here in Sochi, there is plenty on the Russian President’s to-do list as he bustles about town, preparing for the opening of his Olympic Games; stopping off here to give a pep talk to the nation’s athletes, stopping off there to greet another world leader. The first events begin on Thursday morning. High in the mountains above Sochi, snowboarders will take to the slopes of Rosa Khutor, while down on the shores of the Black Sea the final touches are being added to Friday night’s opening ceremony. “Russia,” declared President Vladimir Putin, “is ready to host the Games.” Just a few miles away, news of the President’s declaration was received with guffaws. On the edge of the Coastal Cluster, where the shiny stadia hosting the indoor events glinted in the afternoon sun, blocks of apartments have been constructed to house the world’s media. They are not ready. “It is premature to call it a failure,” insisted a harassed IOC spokesperson, although he conceded there were “issues