Posts

Showing posts from June 1, 2014

World Cup: Mkusanyiko mkubwa wa pili duniani baada ya Olympic Games

Image
Mashindano ya kombe la dunia ni mkusanyiko nambari mbili katika mikusanyiko yote ulimwenguni, pia ni mashindano yanayoangaliwa na mabilioni ya watazamaji duniani (TV Viewers). Juni 12 mashindano hayo maarufu yataanza katika miji tofauti nchini Brazil ikimwemo Sao Paulo, Rio De Janeiro, Brasilia nk.  Ni bahati kubwa kwa nchi hiyo kubwa iliyopo Latin America kwamba 2016 pia mashindano namba moja duniani (Olympic Games) yatafanyika Brazil katika mji wenye bandari kubwa ya Rio De Janeiro.

RT safari hii mkiidhulumu taifa tutafanya mapinduzi wazi wazi

Image
Andrea Sambu Sipe Habari za kutatanisha zinasukwa za kukata jina la Andrea Sambu Sipe asiende kuiwakilishaTanzania katika mashindano ya Jumuia ya Madol a . Sambu mwezi December mwaka jana aliweza kushiriki mashindano ya DANZHOU INTERNATIONAL MARATHON nchini China ambapo alikimbia muda wa masaa 2:14:30 , muda ambao umefikia kiwango na vigezo vya kushiriki mashindano ya Commonwealth Games. Mbali na Sambu pia kuna Musa Nduki Mohamed ambaye pia amefikia muda unaotakiwa, hivyo kwa maelezo mafupi na yanayoeleweka ni kwamba ‘Hakuna mwingine zaidi ya hao wawiwili wamefikia vigezo vya kimataifa vinavyohitajika ili kushiriki mashindano hayo ambayo yatafanyika mwezi July. MASWALI MUHIMU: Kama kweli RT inataka Tanzania ipate medali lakini ikanuia kumwacha Sambu je watakuwa na maana gani? Haki ya mungu Ikulu tutagonga hodi iwapo Sambu ataachwa! Sambu ni mwanariadha pekee Tanzania aliyewahi kushinda mashindano ya dunia ya mbio za nyika; Hakuna mwingine. Angalia profile yak