Posts

Showing posts from April 6, 2014

MABADILIKO: Sokoine Marathon itakuwa kilomita 10 badala ya kilomita 21

Image
Tunaomba radhi kwa kufanya mabadiliko ya ghafla! Hiyo ni kutokana na mashauriano kati yetu sisi waandaaji, Chama Cha Riadha Mkoa   na wanariadha wenyewe. SABABU KUU: Imeamuliwa kwamba siyo vizuri kuwakimbiza wanariadha mbio ndefu mara mbili kwa wiki moja sababu pia kutakuwa na Ngorongoro Half Marathon April 19, 2014. Familia imeridhia ombi letu na pia imekuwa wazo zuri kwa wanariadha wazoefu ambao wanafahamu athari za kukimbia mbio ndefu mfululizo. Pia wananchi wengi sasa wataweza kushiriki Kilomita 10. Taratibu zingine hadi sasa zipo kama ilivyopangwa, ila namba zinasajiliwa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume. Tsh: 2,000 tu kwa kusajili namba yako. ZAWADI ZITATOLEWA KWA WASHINDI.

Kenenisa Bekele: The Ethiopian superstar outruns the field in Paris Marathon

Image
Kenenisa Bekele, an Ethiopian long-distance runner and three-time Olympic champion, won the Paris Marathon on Sunday, finishing the 42.195km (26.22 miles) race in a record 2hr 5min 02secs. The previous record for the Paris Marathon was held by Kenya's Stanley Wiwott, who clocked 2hr 05:10 in 2012. The race was Bekele’s first marathon. "I didn't have much experience," Bekele said. "It was very tough but it was the time I expected.” Bekele made his move with about 25km to run and opened up a lead that may have been even more significant had he not struggled with a hamstring problem. "The hamstring wasn't good after 25km. It was cramping but it's ok. I'll feel it more in the morning," explained Bekele. He missed out on the world record, which is held by Kenyan Wilson Kipsang who set a mark of 2hr 3min 23secs in 2013 at Berlin. (FRANCE 24 with AFP)