Posts

Showing posts with the label Mapinduzi 2021

Matokeo yote ya Mbio za Mapiduzi Day Festivals 2021 ziko Hapa (Official Results for Mapinduzi Day Track & Field 2021)

Image
  Bofya Hapa Kupata Matokeo Yote ( Click Here to get Official Results 2021 ) mbio za  2nd Annual Mapinduzi Day Festivals 2021  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Benjamin Michael Atakata kwenye Mashindano ya Mapinduzi Festivals 2021

Image
  Benjamin Michael akimaliza mbio za mita 400 kwenye mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festival  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Decta Tezforce Ashinda mbio za mita 5000 za Mapinduzi Festivals 2021

Image
  Vijana wakitimua vumbi katika mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festivals 2021  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha. Decta Tezforce ashinda mbio za mita 5000 (5000m) kwa wanaume, kwa muda wa (14:29.31) akifuatiwa na Sylvester Simon (14:33.51) na wa tatu ni Joshua Elisante (14:52.40) mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festivals 2021  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Wanawake watoana Jasho kwenye Mbio za Mapinduzi Festivals 2021, Arusha

Image
  Wanawake wakitoana Jasho kwenye mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festivals 2021  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Meya Azindua Mbio za Kilomita 5000 katika mbio za Mapinduzi Festivals 2021

Image
  Kutoka Kushoto: Bw. Jackson Jorwa, Kocha Francis John , Meya wa Jiji la Arusha, Mh. Maximillian Iraqhe , Mkurugenzi wa Gidabuday Sports Tourism Foundation, Bw. Wilhelm Gidabuday na Bw. Ndaweka wakiwasili kwenye mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festival  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha. Meya wa Jiji la Arusha Bw. Maximillian Iraqhe akianzisha mbio za mita 5000 katika mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festival  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,wakishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha Mkurugenzi Mtendaji wa Gidabuday Sports Tourism Foundation , Bi. Eva Gidabuday ( Mwenye Koti la Njano) na waandishi wenzake wa mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festivals 2021  ambaz

MEYA WA JIJI LA ARUSHA AHUDHURIA MBIO ZA MAPINDUZI FESTIVAL 2021

Image
Mkurugenzi wa Gidabuday Sports Tourism Foundation, Bw. Wilhelm Gidabuday akizungumza na wanahabari kusuhu mbio za 2nd Annual Mapinduzi Festival ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,akishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha. Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha, Bw. Maximillian Iranqhe akiwasili kwenye mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festival  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,akishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwanja vya Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha. Meya wa Jiji la Arusha, Bw. Maximillian Iraqhe akizungumza na wanahabari kuhusu mbio za  2nd Annual Mapinduzi Festival  ambazo zilizoandaliwa na Gidabuday Sports Tourism Foundation ,akishirikiana na Chama cha Riadha cha wilaya na Mkoa wa Arusha, ambazo zilifanyika tarehe 14/03/2021 katika Viwan