Posts

Showing posts from September 28, 2014

TENNIS: Conflict explodes within Tanzania Tennis Association

Image
Almost all sports associations in Tanzania have internal problem within itself, the seen in the tennis court may someday look like this!

Malinzi maji ya shingo

Image
Jamal Malinzi / Rais wa Shirikisho la Mpira Tanzania (TFF) BODI ya Ligi Kuu Tanzania kwa kushirikiana na Klabu 14 za ligi hiyo, zimetishia kusaka theluthi mbili ya saini za Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ili kuitisha Mkutano Mkuu wa dharura wa kupiga kura ya kutokuwa na imani Rais wa shirikisho hilo, Jamal Malinzi. Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na wakili wa kujitegemea Dk. Damas Ndumbaro, anayeiwakilisha TPL Board na klabu 14 za Ligi Kuu, katika jaribio lao la kupinga shinikizo la TFF kuzikata klabu hizo asilimia tano ya pesa za wadhamini wa ligi hiyo ambao ni Kampuni ya Vodacom na Azam Media Ltd. Uamuzi huo wa TPL Board na klabu za Ligi Kuu, umekuja siku moja baada ya Malinzi kusisitiza kuwa uamuzi wa kukata asilimia tano ya makato ya pesa za wadhamni kwa klabu za ligi hiyo uko palepale, na kwamba bodi hiyo haina mamlaka ya kupinga agizo hilo na wenye uwezo au mamlaka hayo ni Kamati ya Utendaji ya TFF. Akijibu hoja moja baada ya nyi

Rio 2016 Olympics Progress Impressive, Says IOC in Change of Tone

Image
Brazil's president, Dilma Rousseff, prepares to take a photo with workers as IOC Coordination Commission head Nawal El Moutawakel (bottom L) watches during a visit to the Rio 2016 Olympic Park in Rio de Janeiro September 30, 2014. RIO DE JANEIRO: In a dramatic change of tone Olympic officials said on Wednesday they were impressed by progress being made in Rio de Janeiro ahead of the 2016 Games, just months after the preparations were described by one member as “the worst” ever. After a three-day visit around sites and venues, the International Olympic Committee (IOC) said that although the schedule was still tight and accommodation remained a challenge, core projects were now moving quickly. ‘Part of history’ The committee did not comment on legal action taken against the Olympic golf course, which could force last-minute changes to the design. “We leave reassured by the huge progress that has been made in the last few months,” Nawal El Moutawakel, chairma

HAKI: Michezo imezingatiwa katika rasimu inayopigiwa kura?

Image
Wajumbe wa bunge maalum la katiba linaloendelea Dodoma, bunge hilo linategemewa kufikia tamati muda hivi karibuni tena huenda lisifanikishe azma na matarajio ya watanzania. Hapana wanamichezo nafasi hatukupewa japo majina yalipendekezwa kuingizwa katika lile kundi la 201.  Hata hivo wanamichezo tusichukie wala kuhuzunika maana dalili zinaonyesha wazi kwamba hakuna maridhiano yatakayoleta katiba mpya kwa sasa. Mwisho wa siku sisi “Wanamichezo” tutakuwa na thawabu sababu hatukuthubutu kujadili jambo lisilowezekana maana dalili zipo wazi. Hata hivyo tuangalie kwa macho kwanza maana kuna msemo usemao “Anayesikiliza kwa makini ndiye anayefaidi mwishoni”.  Ombi kwa wawakilishi wetu bungeni hivi sasa ‘ Tafadhali waheshimiwa msiwe mabubu katika kupigania haki za wanamichezo kama ambavyo mnapigia kelele ufujaji wa fedha za uma' 'Mkumbuke kwamba jasho la mshezaji ni gharama zaidi kuliko noti zinazochapishwa na Federal Reserves’ Ninyi kushindwa kutuwakilisha vyema

Ikangaa apigiwa debe ‘kumrithi’ Malinzi uenyekiti wa BMT

Image
Col. Rt. Juma Ikangaa Mwanariadha wa zamani , Juma Ikangaa anatajwa kurithi nafasi ya uenyekiti  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) baada ya Dioniz Malinzi kumaliza muda wake wa miaka mitatu juzi Jumapili.  Habari za ndani ambazo gazeti hili ilizipata zilieleza kuwa kati ya majina yaliyopendekezwa na Serikali, Ikangaa anapewa nafasi kubwa ya kuchukua mikoba ya Malinzi.  “Yalipendekezwa majina kadhaa ya watu maarufu ambao Serikali iliona wanastahili kuongoza BMT baada ya Malinzi kumaliza muda wake na Ikangaa ndiye anapewa nafasi kubwa ya kuwa mwenyekiti,” kilisema chanzo chetu.  Mwenyewe (Ikangaa) alipotafutwa na gazeti hili kujua msimamo wake, hakukubali wala kukataa kutaka cheo hicho zaidi ya kueleza hana taarifa zozote juu ya uteuzi huo. Gazeti hili lilimtafuta, Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel ili k

Sugu atikisa Uwanja wa Sokoine

Image
Sugu sugu sugu… hivyo ndiyo mashabiki wa Mbeya City walivyoimba kwa muda mrefu baada ya mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ kuingia uwanjani juzi kushuhudia mechi ya Ligi Kuu kati ya Mbeya City na Coastal Union. Ilikuwa katika dakika ya 38 ya mchezo huo, wakati Sugu alipoingia uwanjani na baada ya kushuka tu kwenye gari lake, uwanja mzima ulizizima kwa kelele za mashabiki kumshangilia kwa nguvu zote  wakisema “Sugu sugu sugu”, huku wakimtaka aende kukaa kwenye eneo walilokuwapo. Sugu alilikubali wito huo na kwenda kukaa eneo la mashabiki hao. Mmoja wa viongozi waliokuwa kwenye jukwaa kuu alishuka ghafla kwa lengo la kumkaribisha Sugu meza kuu, lakini Sugu hakwenda na badala yae alinyosha njia kwenda kukaa kwa mashabiki huku akishangiliwa kwa nguvu. Akizungumza na gazeti hili, baada ya kumalizika kwa mechi hiyo, Sugu alisema hakuwa na sababu yoyote ya kukaa jukwaa kuu kwani uhondo wa mchezo ni pale unapokuwa na vijana aliowaita wenye ‘mizuka’.

Ignoring minor sports isn’t among best ideas

Image
Sponsorship is the lifeblood of any sports club or national team in a modern nation. If it is not available or it is in short supply, the prospects of a club will inevitably be compromised, regardless of the talent in hand. It is also a marketing tool that companies frequently use to reach wide audiences on a national or global basis. Through this platform, specific audiences--including potential customers--are easily reached and persuaded to offer much-needed backing. This is not the case for Tanzania, unfortunately. For years, lack of sponsorship has been the major drawback to our national teams, leading to failure to honour international championships that take place abroad. Early this week, for instance, the national men and women’s basketball teams had to skip the ongoing 2014 FIBA Africa Zone 5 basketball championship qualifiers in Uganda due to this perennial bane. The Tanzania Basketball Federation (TBF) needed at least Sh35 million to facilitate the tw

Dennis Kimetto Sets World Mark at Berlin Marathon

Image
Kenia's Dennis Kimetto crosses the finish line to win the Berlin marathon in a world record time in Berlin, Germany, on Sunday Sept. 28, 2014.( Kimetto set a new world record of 2h, 2min and 57 seconds. (AP Photo/dpa/Rainer Jensen) The Associated Press Dennis Kimetto knocked 26 seconds off the world marathon record Sunday as the sub-two hour mark moved a step closer. The 30-year-old Kenyan won the 41st edition of the Berlin Marathon in 2 hours, 2 minutes, 57 seconds, becoming the first man to complete a marathon in under 2 hours, 3 minutes. The previous record of 2:03:23 was set by another Kenyan, Wilson Kipsang, in Berlin last year. "I feel good today for today is a big day for me," Kimetto said. "The fans made me confident and I thought I could do it." Second-placed Emmanuel Mutai also beat the previous record, finishing in 2:03:13, and he believes a two-hour marathon is possible. "From what I saw today, times are coming d