Posts

Showing posts from September 7, 2014

Hatimaye RT wakabwa mahakamani kwa madai ya Milioni 20

Image
Suleiman Nyambui / Katibu mkuu wa Chama Cha Riadha Tanzania Kampuni ya SYMAITON SAPALI & CATHY CATERING imewaburuza viongozi wa Chama Cha Riadha Tanzania RT kwa deni la Tsh: 20,000,000 iliyotokana na chakula cha wanariadha wakati wa mashindano ya taifa yaliyofanyika Dar Es Salaam September 2012. Kesi hiyo (Civil Case Number 9/2014) ilifunguliwa katika mahakama ya wilaya ya Temeke siku za nyuma huku viongozi wa RT wakikaidi wito wa mahakama. Juzi (September 11, 2014) Katibu wa RT Suleiman Nyambui alihudhuria kesi hiyo baada ya mahakama kutoa amri kali ambapo angedharau amri hiyo huenda angekamatwa na kutiwa ndani. Akihojiwa na kituo kimoja cha redio hapo jana, Nyambui alikana kesi hiyo yenye kutia doa chama cha riadha, lakini muda mfupi baadae mwanasheria wa RT Thabit Bashir alithibitisha kuwepo kwa kesi hiyo. Hivi karibuni Suleiman Nyambui amekuwa akiandamwa kote kote hadi kutiliwa shaka katika biashara ya madawa ya kulevya!  Akisthibitisha yeye mw

Trouble looms for TTA officials

Image
Fina Mango/TTA Vice President The National Sports Council (NSC) has given Tanzania Tennis Association (TTA) a seven-day ultimatum to provide details as to why the body has not reported to meetings which the council has been holding to solve wrangles in the association.   NSC officer Benson Chacha who is responsible for tennis desk confirmed that NSC has dispatched a letter to TTA leadership on the matter.   He said NSC has on four occasions invited TTA for meetings but neither showed up, nor gave any excuse.   ‘On Wednesday the Chairman of NSC was there waiting for them but they never showed up, so we have decided to write them to explain as to why they are failing to attend the meetings. NSC rules are clear on disciplinary action which can be taken on such cases, but we want the officials to explain and also defend themselves,’ he said.   According to Chacha, early this year some members of TTA complained to NSC on the way the association is run, the me

Accused: Athletic Tanzania has been taken to court of law in Tanzania

Image
IAAF charter should condemn Athletic Tanzania The trend of shameful revelations has continued to rock Tanzania Athletic Body best known as “Athletic Tanzania” (AT) as Temeke District Court is preparing to hear the Case Number 9/2014 adjourned to October 7 th 2014. The plaintiff is Symaiton G. Sapali VS Athletic Tanzania as a result of catering service provided by plaintiff back in 2012 at the National Athletics Championships held in Dar Es Salaam.  It is alleged that AT Secretary General Suleiman Nyambui signed the deal promising the plaintiff that the money ( Tsh:25,000,000 Equivalent to USD 15,625) will be paid as soon as International Association of Athletics Federations (IAAF) pays AT the grant amounting more than the owed credit. RT has accused IAAF for not paying the said Grant. It should be known however that AT has been running its day to day business without using any agreed constitution.  On May 20 th 2012 the current AT leaders were elected without

Marathon du Medoc: Running France's long-distance drinking race

Image
The Medoc Marathon, held on on September 13, 2014, will see 10,000 competitors strive to run 26 miles and sample as many glasses of wine as they can handle. (CNN) -- I'd already run about half the marathon when the next refreshment table came into view. Thirsty and needing to stay charged for the next 13 miles, I elbowed my way through the crowds of runners and grabbed my drink of choice. A nice glass of full-bodied red wine. This is how it rolls at the Marathon du Medoc, an annual festival of wine and running near Bordeaux, France, in which competitors strive to complete 26 miles and almost as many glasses of the local vin.  Now in its 30th edition, the race is something of a legend for marathon runners. Last year I was among 3,300 runners from 53 different nations -- Japan, Canada, Australia -- joining 5,200 competitors from across France.  Sure, there are prestige races in London, New York, and Chicago, but the gustatory element is lacking. Even th

CHANETA has been challenged to go back to the grassroots in order to revive the sport in the country

Image
The combo photo shows (left) Morogoro Urban MP Abdulaziz Abood presenting a trophy to JKT Mbweni captain Joyce Edward after her team won the Union Netball League title at the Jamhuri Stadium in Morogoro on Tuesday. The challenge was made by the Morogoro Urban Member of Parliament, Abdulaziz Abood, at the Jamhuri Stadium, during the official closing of the 2014 Union Netball League. He said promoting the sport at the grassroots, especially at school level, will help turn around the ailing standard of the sport to its glorious past days. Abood said the existence of the Union League demonstrates how Tanzanians respect and cherish the Union especially during this time when the country continues with the process to come up with a new constitution. The MP also used the opportunity to urge CHANETA and CHANEZA leaders to give Morogoro one more chance to host the tournament next year and he will ensure that there are lots of improvements in comparison to this year. “As

Zitto azitaka fainali za Afrika 2017

Image
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameishauri Serikali isiache nafasi adimu ya kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika 2017 (Afcon) baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuliomba Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kuwa mwenyeji. “Nimeona TFF wametangaza kuwa wanaomba kuandaa Afcon 2017, watu wameipokea kwa mtazamo tofauti. Hii ni nafasi ambayo hatutakiwi kuiacha, nchi yetu haijawahi kushiriki mashindano hayo tangu mwaka 1980,” alisema Zitto. Alisema: “Kuna njia mbili tu za kushiriki mashindano hayo, moja ni kufuzu na nyingine ni kuandaa fainali hizo.”  “Kwa upande wetu tangu mwaka 1980 tumejaribu, lakini tumeshindwa hivyo njia pekee ni kuandaa ili tushiriki. Hivi mnaijua nchi inayoitwa Burkina Faso? Wao waliandaa Afcon mwaka 1998, ni nchi maskini ya kutupwa. Tunachohitaji ni kujenga viwanja tu kwa sababu hoteli nzuri tunazo,” alisema Zitto.  Alisema kama yeye angekuwa, angeunda kamati maalumu ya kuomba zabuni hiyo ili kuhakikisha Tanzania inashinda kwa kuwa n