Posts

Showing posts with the label marathon

Mt. Hanang Marathon

Image
Participants of Mount Hanang (festivals) Marathon held on September 27, 2020 at Katesh Hanang.

Gidabuday na baadhi ya Viongozi walioshiriki Mt. Hanang Marathon, Manyara.

Image

Group Picture with Sponsors at Mt. Hanang Marathon, Manyara.

Image

MT. HANANG MARATHON

Image

Sokoine Memorial Marathon to be held on April 11th 2020 in Arusha

Image
Smiles at the last mile of Sokoine Mini Marathon 2019 Prime Minister Hon. Kassim Majaliwa Majaliwa hands out awards to the winners of ladies Half Marathon 2019      

Nyota Kibao Washiriki Ngorongoro Race 2018

Image
Mbio za Ngorongoro Race kabla ya kuanza mwaka jana. Na Mwandishi Wetu WANARIADHA nyota wamethibitisha kushiriki mbio za mwaka huu za Ngorongoro Race zitakazofanyika Aprili 21, imeelezwa. Mkurugenzi wa mbio hizo, ambazo zinafanyika kwa mwaka wa 11 sasa, Meta Petro alisema jana kwa njia ya simu kuwa, tayari wanariadha wengi nyota wamethibitisha kushiriki mbio hizo. Wanariadha wakichuana katika mbio za mwaka jana mjini Karatu. Baadhi ya wanariadha nyota waliothibitisha kushiriki ni pamoja na Fabian Joseph, Said Makula, Fabian mdogo, Dickson Marwa, Sarah Ramadhani, Jaquline Sakilu, Stephano Huche, Failuna Abdi na wengine. Makula, Sarah na Huche wamo katika timu ya Tanzania iinayoshiriki Michezo ya 21 ya Jumuiya ya Madola iliyoanza Gold Coast, Australia kuanzia Aprili 4 hadi 15. Ofisi ya Ngorongoro Race iliyopo Karatu mkoani Arusha. Petro alisema kuwa tayari zaidi ya wanariadha 200 wamejiandikisha kutaka kushiriki mbio hizo, ambazo zimekuwa zikifanyika katika kipindi cha

Callum Hawkins ready to battle Mo Farah in future marathons

Image
Wilhelm Gidabuday with Alphonce Simbu in London. Callum Hawkins wants to challenge Sir Mo Farah Great Britain's Callum Hawkins says he is relishing the chance to battle Sir Mo Farah in the marathon from next year, after finishing an impressive fourth at the World Championships in London. The Scot equalled the best-ever finish by a British man in the event, and the best in 22 years since Peter Whitehead's performance in Gothenburg with his display on Sunday. The 25-year-old, ninth at last year's Olympics in Rio, clocked a personal best two hours 10 minutes and 17 seconds as he crossed the finish line at Tower Bridge 26s off bronze. Hawkins' sense of slight frustration at missing out on a medal is a clear sign of his confidence - and he is determined to give Farah a run for his money when the 10-time global track champion takes to the roads full-time. "Hopefully he'll be seeing my back," he joked. Mo Farah could find himself fending off competition from

Nitaanzisha matembezi ya KM 1300 kuchangisha fedha za kujenga ofisi na kambi ya kudumu ya RT.

Image
Na Victor Machota, Arusha. Katibu Mkuu wa chama cha Riadha Tanzania Wilhelm Gidabuday ni mmoja kati ya watanzania waliokwisha kutoa jasho, kushinda njaa na kupata maumivu, ilimradi sekta ya riadha ililetee Taifa heshima kama waasisi wa mchezo wa riadha nchini walivyojitoa hapo awali kuliwakilisha Taifa letu vyema katika mashindano ya kimataifa. Wilhelm amekuwa mfano katika harakati za kuboresha riadha toka hata kabla hajawa kiongozi katika riadha, mfano mzuri ni pale alipoamua kutembea umbali wa kutoka Bagamoyo hadi Ujiji kuhamasisha riadha hapa nchini, huku akiungwa mkono na wazalendo wachache wenye moyo na kiu ya kuboresha riadha nchini. Lakini pia amekua ni muanzirishi wa Sokoine Mini Marathoni ambayo hufanyika Monduli Juu kwa hayati Edward Moringe Sokoine. Sasa leo kupitia ukurasa wake wa Facebook, Katibu Mkuu Gidabuday ameonekana kudokeza matembezi mengine makubwa. Soma hapo chini alichoandika>>> "Sasa nalianzisha #Dude - miaka 7 iliyopita nilitembea kw

SIMBU Clocked 2:09:41 in IAAF World Championships London 2017

Image
L-R, Coach Francis John, Secretary General Athletics Tanzania, and Alphonce Simbu . Geoffrey Kirui won the 2017 world men’s marathon title – becoming Kenya’s fifth champion in the event - after winning a testing duel in the sun with Ethiopia’s Tamirat Tola over the four-loop course that began and ended on Tower Bridge, where he finished in 2:08:27. In so doing, the 2017 Boston Marathon winner extended his country’s record as the most successful nation in the history of this event at the IAAF World Championships. Tola, the Olympic 10,000m bronze medallist and fastest in the field thanks to the 2:04:11 he recorded in winning this year’s Dubai Marathon, required medical treatment after struggling home in 2:09:49, just two seconds ahead of Tanzania’s Alphonce Simbu, who clocked 2:09:41. Home runner Callum Hawkins, who had featured intermittently in the lead through the first half of the race, finished strongly for fourth place in a personal best of 2:10:17. Kenya’s Gideon Kipketer, who s