Posts

Kwa Mara ya kwanza Tanzania,mnamo tarehe 5 mwezi wa Sita, Benki ya Azania inakuletea Mbio za Watoto.

Image
Kwa Mara ya kwanza Tanzania,mnamo tarehe 5 mwezi wa Sita, Benki ya Azania inakuletea Mbio za Watoto au unaweza kuziita Kids Run Marathon  Hii ni Habari njema kwa Wakazi wa Dar es Salam,hivyo basi Mzazi, Mlezi, unahamasishwa kumleta mtoto wako kuanzia miaka Mitatu mpaka Miaka kumi na Sita waje kushindana na Watoto wenzao  Kutakuwa na zawadi kwa kila mtoto na kwa wale washindi watapata zawadi zaidi  Jinsi ya kijiandikisha na kushiriki ni rahisi sana fika kwenye tawi lolote la Dar es Salaam lililo karibu na wewe, fomu ni Shilingi 2000/- tu.  Watu wote mnakaribishwa.

Benki ya Azania yadhamini mashindano ya riadha kwa watoto

Image
Mfano wa namba za ushiriki wa AZANIA BANK KIDS RUN zitakazofanyika Juni 5 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar Es Salaam Juni 5 mwaka huu Chama Cha Riadha Tanzania RT kinaandaa mashindano ya aina yake maalum kwa ajili ya watoto wa miaka 16 kwenda chini (Miaka 3 hadi 16) ili kuhamasisha michezo kuanzia umri mdogo. Mashindano hayo yatafanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 6 mchana. Zoezi la kwanza mapema siku hiyo itakuwa kugawa T/Shirts (Jezi) za kushiriki zitakazokuwa na alama ya Azania Bank Kids Run kwa washiriki wote watakaokuwa na namba za kushiriki. Usajili utaanza Alhamisi wiki hii katika matawi yote ya Benki ya Azania jijini Dar es Salaam na ofisi za Chama Cha Riadha uwanja wa Taifa. Mbio hizo zitakuwa za aina tano; watoto wa kati ya miaka 5 hadi 7 watashiriki kilomita 1, miaka 8 hadi 12 watakimbia kilomita 2 wakati wale wakubwa kati ya miaka 13 hadi 16 watakimbia kilomita 5.  Wale wadogo wa miaka 2 hadi 3 watashiriki

Manny Pacquiao Wins Philippines Senate Seat, Wants to Fight at 2016 Rio Olympics

Image
Boxer Manny Pacquiao Manny Pacquiao's political career received a boost Thursday as he earned a seat in the  Philippines Senate, but  Pac -Man may not be ready to put his old career behind him just yet. After the 37-year-old eight-division world champion finished seventh among 12 newly elected senators with over 16 million votes, he expressed interest in representing the Philippines at the 2016 Summer Olympics in Rio de Janeiro , according to the Associated Press. "I need to ask if the Filipino people will allow me to participate in the Olympics." Pacquiao retired from boxing following his unanimous-decision victory over Timothy Bradley in April 2016, but with professionals now being permitted to qualify for boxing in the Olympics, his hiatus from the ring could be brief. Boxing trainer Freddie Roach added this, per the Associated Press (ESPN .COM):  "He asked me if I would train him if they let pros in the Olympics. I said of course I will.&q

Surviving Bowerman sub-4 milers returning to the UO

Image
Eleven Ducks who ran under legendary coach Bill Bowerman broke the hallowed sub-four-minute-mile barrier, and on May 27 the ten surviving members of the group are returning to the University of Oregon for a special event, dubbed the “Sub 4 Reunion.” Organized as a fundraiser by the Oregon Track Club — founded by Bowerman himself more than 50 years ago — the public is invited to meet the milers and hear their stories. The reunion, held at the John E. Jaqua Center for Student Athletes, will feature a social hour,  panel discussion and question-and-answer session, and at the conclusion of the reunion attendees will head to Hayward Field for the 42nd running of the Prefontaine Classic. The sub-4 theme extends beyond the 10 honored guests, too. Tickets cost $25 for the public and $20 for OTC members, but if you’ve run a sub-4 mile it’s free. Hop Valley Brewing Company will debut a new beer, dubbed the Sub 4 Ale, at the event. Even the emcees, Andrew Wheating and Tom F

Benki ya Azania yadhamini Kids Run Dar

Image
RC Makonda akishuhudia makubaliano  NA ESTHER GEORGE, DAR ES SALAAM BENKI ya Azania imeingia makubaliano na Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) kuendesha mashindano ya riadha kwa watoto walio chini ya umri wa miaka 16 yajulikanayo kama Kids Run Dar es Salaam yatakayofanyika Juni 5. Hafla ya makubaliano hayo ilifanyika jana na kushuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Benki hiyo imewekeza shilingi milioni 130 kwa ajili ya mbio hizo. Akizungumza na waandishi wa habari, Mkurugenzi Mtendaji wa Azania, Godfrey Dimoso, alisema benki hiyo inamilikiwa na Watanzania na wamejitosa kudhamini mbio hizo baada ya kukubaliana na RT. “Hili kwetu ni tukio la kihistoria kwa kuwa benki yetu ni ya kwanza kudhamini riadha tukiwa sekta binafsi, hivyo tumekubaliana na wenzetu wa RT kushirikiana katika hilo,” alisema Dimoso. Kwa upande wake, Makamu wa Kwanza wa Rais wa RT, William Kalaghe, alisema ni mara ya kwanza mashindano hayo kupata wadhamini nje ya Serikali, hivyo

Kenyatta to change anti-doping system

Image
Uhuru Kenyatta / President of Kenya Kenyan President Uhuru Kenyatta has vowed to ensure the country makes the necessary changes to its anti-doping system ahead of an extended deadline of 2 May to avoid providing an “excuse” for them to be suspended from this year’s Olympic Games in Rio de Janeiro. Kenya missed an initial deadline of 5 April to introduce a new Bill into Parliament, something that was not passed in time due partly to a Parliamentary recess. A fresh time limit was imposed by the World Anti-Doping Agency (WADA) following discussion on Kenya during an Independent Compliance Review Committee meeting in Montreal. If improvements are not made by then, a recommendation of non-compliance will be made ahead of a WADA Foundation Board meeting on 12 May. “By next week latest, the Anti-Doping Bill will have been passed by Parliament and I will have signed it into law – so that there will be no excuse to deny our team from participatio

IAAF rejects former Kenya chief Mwangi’s ban appeal

Image
Isaac Kamande Mwangi The IAAF’s Ethics Committee has rejected former Athletics Kenya (AK) chief executive Isaac Kamande Mwangi’s appeal against his provisional six-month ban for violating anti-doping controls. The punishment was handed out by the International Association of Athletics Federations, the sport’s governing body, in February after Mwangi was accused of seeking bribes to reduce the doping bans of two athletes. His provisional suspension came after former AK president Isaiah Kiplagat, ex-deputy David Okeyo and former treasurer Joseph Kinyua were banned by the Ethics Committee on charges of mis-using funds from a sponsorship by U.S. sports manufacturer Nike. All the officials deny any wrong-doing. Joy Sakari and Francisca Koki Manunga said Mwangi asked each of them for $24,000 to reduce four-year bans. Sharad Rao, Kenya’s barrister appointed by the IAAF , said on Friday that he would complete his probe into the affair by mid-May.