Nyerere Day: Je Nyerere anakumbukwa kimaneno ama anakumbukwa kiukweli?


Ukisoma maneno kutoka katika "nukuu zake" utaona kwamba alichokisema nyakati zileee.. 'enzi za mwalimu' ndiyo yanafanyika kinyume na alivyokuwa akitaka; mbaya zaidi wale wanaodai kumpenda Nyerere ndiyo kwanza wanaoendekeza balaa la kuiuza nchi.

Mfano upo wazi: Hivi sasa Wilaya nyingi Tanzania tunashuhudia migogoro ya ardhi inayosukwa na wakuu wa sehemu husika, lakini uchonganishi unawakumba wafugaji na wakulima! Hivi jamani watanzania haya maneno ya mwalimu yanazingatiwa?.

Comments

Popular

GIDABUDAY KUHAMASISHA UJENZI WA KIJIJI CHA MICHEZO TANZANIA LENYE JINA YA MWANARIADHA MKONGWE BW.JOHN STEPHEN AKHWARI

Rio Olympics: Brazil win men's volleyball gold, GB's Joyce takes boxing silver – as it happened

Olympics 2016: Usain Bolt completes sprint double, Jade Jones retains taekwondo title

Rio Olympics: Swimmer Lochte apologises for 'robbery' saga