Mapinduzi ya Kihistoria: Zanzibar yatimiza miaka 50 tangu yafanyike mapinduzi yaliyoipa kisiwa hicho heshima ya pekee



Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akikagua vikosi vya ulinzi na usalama katika maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar kwenye uwanja wa Amani mjini Zanzibar.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mamia ya wakazi wa Zanzibar wakati akiwasili kwenye Uwanja wa Amani kwenye kilele cha sikukuu ya miaka ya 50 ya Mapinduzi.



Kikosi cha Kifaru kikionyesha kifaru cha kivita huku wananchi wakishangilia kwa furaha.

Comments

Popular

GIDABUDAY KUHAMASISHA UJENZI WA KIJIJI CHA MICHEZO TANZANIA LENYE JINA YA MWANARIADHA MKONGWE BW.JOHN STEPHEN AKHWARI

Rio Olympics: Brazil win men's volleyball gold, GB's Joyce takes boxing silver – as it happened

Olympics 2016: Usain Bolt completes sprint double, Jade Jones retains taekwondo title

Rio Olympics: Swimmer Lochte apologises for 'robbery' saga