KATIBA MPYA: Wafugaji wahofu Katiba kutowatambua


KUNDI la wafugaji nchini wameeleza hofu ya maisha yao kutokana na rasimu ya pili ya Katiba kutokuwa na vipengele vinavyotambua uhalali wao wa kuishi na shughuli wanazofanya.

Akizungumza na Tanzania Daima juzi, Mwakilishi wa wafugaji ambaye ni mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Makeresia Jibubu, alisema baada ya kupitia rasimu hiyo wamebaini kuwepo na vipengele ambavyo havijaonyesha thamani ya wafugaji nchini.

Alisema katika rasimu hiyo wafugaji wametajwa katika kipengele cha malengo makuu na sera ya nchi na kusema ili suala la wafugaji liwe na umhimu linapaswa liwekwe kwenye kipengele cha wajibu na haki za binadamu, ili waweze kutambulika kisheria.

CHANZO: Tanzania Daima

Comments

Popular

GIDABUDAY KUHAMASISHA UJENZI WA KIJIJI CHA MICHEZO TANZANIA LENYE JINA YA MWANARIADHA MKONGWE BW.JOHN STEPHEN AKHWARI

Rio Olympics: Brazil win men's volleyball gold, GB's Joyce takes boxing silver – as it happened

Olympics 2016: Usain Bolt completes sprint double, Jade Jones retains taekwondo title

Rio Olympics: Swimmer Lochte apologises for 'robbery' saga