Posts

Nyota Kibao Washiriki Ngorongoro Race 2018

Image
Mbio za Ngorongoro Race kabla ya kuanza mwaka jana. Na Mwandishi Wetu WANARIADHA nyota wamethibitisha kushiriki mbio za mwaka huu za Ngorongoro Race zitakazofanyika Aprili 21, imeelezwa. Mkurugenzi wa mbio hizo, ambazo zinafanyika kwa mwaka wa 11 sasa, Meta Petro alisema jana kwa njia ya simu kuwa, tayari wanariadha wengi nyota wamethibitisha kushiriki mbio hizo. Wanariadha wakichuana katika mbio za mwaka jana mjini Karatu. Baadhi ya wanariadha nyota waliothibitisha kushiriki ni pamoja na Fabian Joseph, Said Makula, Fabian mdogo, Dickson Marwa, Sarah Ramadhani, Jaquline Sakilu, Stephano Huche, Failuna Abdi na wengine. Makula, Sarah na Huche wamo katika timu ya Tanzania iinayoshiriki Michezo ya 21 ya Jumuiya ya Madola iliyoanza Gold Coast, Australia kuanzia Aprili 4 hadi 15. Ofisi ya Ngorongoro Race iliyopo Karatu mkoani Arusha. Petro alisema kuwa tayari zaidi ya wanariadha 200 wamejiandikisha kutaka kushiriki mbio hizo, ambazo zimekuwa zikifanyika katika kipindi cha

Callum Hawkins ready to battle Mo Farah in future marathons

Image
Wilhelm Gidabuday with Alphonce Simbu in London. Callum Hawkins wants to challenge Sir Mo Farah Great Britain's Callum Hawkins says he is relishing the chance to battle Sir Mo Farah in the marathon from next year, after finishing an impressive fourth at the World Championships in London. The Scot equalled the best-ever finish by a British man in the event, and the best in 22 years since Peter Whitehead's performance in Gothenburg with his display on Sunday. The 25-year-old, ninth at last year's Olympics in Rio, clocked a personal best two hours 10 minutes and 17 seconds as he crossed the finish line at Tower Bridge 26s off bronze. Hawkins' sense of slight frustration at missing out on a medal is a clear sign of his confidence - and he is determined to give Farah a run for his money when the 10-time global track champion takes to the roads full-time. "Hopefully he'll be seeing my back," he joked. Mo Farah could find himself fending off competition from

Nitaanzisha matembezi ya KM 1300 kuchangisha fedha za kujenga ofisi na kambi ya kudumu ya RT.

Image
Na Victor Machota, Arusha. Katibu Mkuu wa chama cha Riadha Tanzania Wilhelm Gidabuday ni mmoja kati ya watanzania waliokwisha kutoa jasho, kushinda njaa na kupata maumivu, ilimradi sekta ya riadha ililetee Taifa heshima kama waasisi wa mchezo wa riadha nchini walivyojitoa hapo awali kuliwakilisha Taifa letu vyema katika mashindano ya kimataifa. Wilhelm amekuwa mfano katika harakati za kuboresha riadha toka hata kabla hajawa kiongozi katika riadha, mfano mzuri ni pale alipoamua kutembea umbali wa kutoka Bagamoyo hadi Ujiji kuhamasisha riadha hapa nchini, huku akiungwa mkono na wazalendo wachache wenye moyo na kiu ya kuboresha riadha nchini. Lakini pia amekua ni muanzirishi wa Sokoine Mini Marathoni ambayo hufanyika Monduli Juu kwa hayati Edward Moringe Sokoine. Sasa leo kupitia ukurasa wake wa Facebook, Katibu Mkuu Gidabuday ameonekana kudokeza matembezi mengine makubwa. Soma hapo chini alichoandika>>> "Sasa nalianzisha #Dude - miaka 7 iliyopita nilitembea kw

SIMBU Clocked 2:09:41 in IAAF World Championships London 2017

Image
L-R, Coach Francis John, Secretary General Athletics Tanzania, and Alphonce Simbu . Geoffrey Kirui won the 2017 world men’s marathon title – becoming Kenya’s fifth champion in the event - after winning a testing duel in the sun with Ethiopia’s Tamirat Tola over the four-loop course that began and ended on Tower Bridge, where he finished in 2:08:27. In so doing, the 2017 Boston Marathon winner extended his country’s record as the most successful nation in the history of this event at the IAAF World Championships. Tola, the Olympic 10,000m bronze medallist and fastest in the field thanks to the 2:04:11 he recorded in winning this year’s Dubai Marathon, required medical treatment after struggling home in 2:09:49, just two seconds ahead of Tanzania’s Alphonce Simbu, who clocked 2:09:41. Home runner Callum Hawkins, who had featured intermittently in the lead through the first half of the race, finished strongly for fourth place in a personal best of 2:10:17. Kenya’s Gideon Kipketer, who s

ASU Track and Field busy weekend

Image
Top: Sydney Gidabuday races in the 10,000-meter run. Courtesy photo by Pat Melgares ALAMOSA – A majority of Adams State University student-athletes returned to action on Saturday to begin the outdoor season. The Grizzlies were active at the UNM Don Kirby Tailwind Invitational and the San Francisco State University Distance Carnival. UNM Don Kirby Tailwind Invitational Adams State braved the elements as cold and rainy conditions greeted the Grizzlies in Albuquerque for their outdoor season opener. Despite the unfavorable weather, the Grizzlies notched four event titles in a meet featuring NCAA Division I and Division II competition. Malena Grover (4:48.81) ran to a women's 1500m crown as teammates Aden Alemu (4:53.69) and Cari Steen (4:58.62) placed second and third place, respectively. Austin Anayna (1:53.95) won a title in the men's 800m and was closely followed by teammate Robert Guinn (1:55.10) who took second overall. Brecht Van Waes (15.83m)

Kampala 2017: Security assured for World Cross Country

Image
Tanzania National Championships held in Moshi Kilimanjaro selected the strongest team since 1991 for Kampala games Local organisers of the IAAF World Cross Country Championships 2017 have reiterated Police chief Gen Kale Kayihura’s assurance of security ahead of the event due in seven days. IGP Kayihura’s call came in the wake of the murder of one his senior police officers, Andrew Felix Kaweesi on Friday. The police spokesperson was killed by unknown gunmen together with his bodyguard and driver just outside his home in Kulambiro, in the suburbs of Kampala. He was on his way to work. Police investigations are going on. The local organizing committee of the upcoming World Cross Country event in Kampala said they were saddened by Kaweesi’s death, saying he was a “true sportsman”. The committee said Kaweei, also director of human resource in the Police Force, had promised to ensure that he boosted the welfare of the police sports department during his first meeti

Kampala set to host biggest IAAF World Cross Country Championships in more than a decade

Image
The anticipation surrounding the IAAF World Cross Country Championships is not restricted to host country Uganda, with a whopping 553 athletes having confirmed participation in the affair due March 26 in Kampala. By way of comparison, this would make the Kampala affair the best attended Championships since the 2006 edition, held in Fukuoka Japan. Last year's event, held in the Chinese city of Guiyang, attracted 410 participants from 51 countries. Sixty countries have confirmed participation in the 2017 race. Hosts Uganda have registered a 32-strong ream that will be captained by 25 year-old Timothy Toroitich. The Benjamin Longiross coached runners have been in residential camp since early February and will be desperate to crown the campaign with gold in the senior competitions. So far, so good. It was the hope of the local organising committee (LOC) that the Championships would attract a large response and a foreign marketing firm was reportedly hired to pro