Posts

Riadha Kenya yawakana wakimbiaji

Image
Dennis Malle (aliyesimama) ni wakala maarufu wa kuleta wakenya Tanzania kwa kupata 10% bila kujali uzalendo CHAMA cha Riadha Kenya (AK), kimesema hakina taarifa za wanariadha wake kwenda Tanzania kushiriki mashindano mbalimbali mwaka huu. Desemba 4 mwaka huu yalifanyika mashindano ya Serengeti Marathon na Desemba 8 Uhuru Marathon na kushirikisha wanariadha kadhaa kutoka Kenya ambao ilidaiwa kuwa wana barua rasmi za utambulisho kutoka AK kama inavyotakiwa kisheria. Suala la mawakala wa Tanzania kuwachukua wanariadha wa Kenya katika mashindano mbalimbali bila kufuata taratibu limekuwa likiota mizizi huku Riadha Tanzania (RT), ikishindwa kulipatia tiba. Katika mbio za Uhuru Marathon , zilizagaa habari kuwa mwanariadha Emily Lagat amefariki mara baada ya kumaliza mbio hizo, kabla ya wakala wake, Dennis Malle , kukanusha huku akibainisha kuwa ni mzima licha ya kwamba alikuwa majeruhi. Malle akizungumza kwa simu kutoka Arusha, alidai kuwa Lagat ali

Obama, Castro shake hands as world says farewell to peacemaker Mandela

Image
U.S. President Barack Obama shook hands with Cuba's Raul Castro at a memorial for Nelson Mandela on Tuesday, a rare gesture between the leaders of the ideologically opposed nations that reflected the anti-apartheid hero's spirit of reconciliation.  

Ili kuboresha riadha Tanzania ni bora tukaweka mambo kadhaa sawa kabla ya kusonga mbele bila masahihisho

Image
John Stephen Akhwari Siku ya kuadhimisha uhuru wa nchi yetu ni siku muhimi sana kwa kila anayependa demokrasia, amani, mshikamano na umoja ambao baba wa taifa Mwalimu Nyerere alituachia. Uhuru Marathon ilizinduliwa vizuri mwaka jana kwa kuonyesha picha na nukuu muhimu zilizotokea wakati nchi yetu ikiongoza dunia katika riadha, picha na nukuu za mkongwe John Stephen Akhwari zilionyeshwa. Kati ya nukuu muhimu sana katika historia ya Olympic Games ni ile aliyoitoa John Stephen Akhwari katika mashindano ya Mexico City 1968 , alisema "Nchi yangu haikunituma Mexico City kuja kuanza mbio: nchi yangu ilinituma kuja kumaliza mbio". Nukuu hiyo imejenga kitu kinachojulikana kama Olympic Spirit ambapo mzee wetu hukumbukwa na ulimwengu kila mwaka wa Olympics. Je waandaaji wa Uhuru Marathon walikumbuka kumualika mzee wetu huyo?, tunaamini kwamba waandaaji wangethamini historia ya nchi waka - combine na historia ya Olympics kamwe wasingemsahau mzee wetu. Hata hivyo

UHURU MARATHON: Sintofahamu yaibuka baina ya jamii ya wanariadha kuhusiana na hali ya mkenya anayedaiwa kuugua ghafla baada ya mbio za jana

Image
Tetesi za kuzidiwa ama hata kufariki kwa mwanariadha wa Kenya zinazidi kuwa tata baada ya simu za wahusika wa RT na wakala aliyewaleta wakenya hao kutopokelewa ama kuwa zimezimwa. Hata hivyo kwa kutumia simu nyingine mwanahabari moja ameweza kuongea na katibu wa RT Suleiman Nyambui na kugundua kuwepo na hali ya wasiwasi katika majibu yake. Nyambui alinukuliwa akisema "Hadi jana baada ya mbio sijasikia chochote ila kuna wanariadha wawili mmoja akiwa mkenya walioonyesha kujisikia vibaya, nikawanunulia ugali wa dona na wakaondoka hivyo baada ya hapo sijui kilichoendelea". Aliendelea kusema "Nitakwenda Mwananyamala Hospital alafu baadaye tuwasiliane" . Hali iliyoshangaza ni kwamba alijuaje tatizo lipo Mwananyamala Hospital?.  Katika maongezi hayo yaliyorekodiwa Nyambui pia alionyesha hali ya kujihami (Diffence) kwa kudai "Hata kikitokea kitu sisi hatutahusika maana waandaaji siyo sisi" . Awali ilithibitika kwamba hapakuwa na maji njia nzima wakati wa ma

The wonders of Tanzania and the world's most famous Mt. Kilimanjaro

Image
Mount Kilimanjaro from above, with its three volcanic cones, Kibo, Mawenzi, and Shira, is a dormant volcanic mountain in Kilimanjaro National Park , Kilimanjaro Region, Tanzania.   'It is the highest mountain in Tanzania, the highest mountain in Africa, and the highest free-standing mountain in the world at 5,895 meters or 19,341 feet above sea level'. Don't forget that Tanzania also owns the spicy Zanzibar Serengeti National Park , Ngororngoro Conservation etc. Welcome to Tanzania / Karibu Tanzania.   SOURCE: Funny and Amazing Things

CECAFA: Kilimanjaro Stars yaibwaga Uganda The Cranes goli 5 kwa 4

Image
Kilimanjaro Stars Timu ya Tanzania ya Kilimanjaro Stars leo imewatoa mashabiki wake kimasomaso kwa kuigaragaza Uganda The Cranes mabao 5 kwa 4 hivi leo mjini Mombasa Kenya. Katika hali ya kushangaza Kilimanjaro Stars waliibuka washindi baada ya mchezo kutawaliwa na waganda katika kipindi cha kwanza ambapo Uganda The Cranes waliongoza kwa bao moja bila kabla ya wabongo kusawazisha na hatimaye kuwapa deni la goli moja pale walipokwenda mapumziko. Katika kipindi cha pili mchezaji wa Kili Stars Salum Abubakar alitolewa kwa kadi nyekundu ambapo waganda walipata mwanya wa kusawazisha bao la pili hadi mwisho wa dakika 90. Ikaja mikwaju ya penati ambapo Kili Stars ilianza kwa kukosa penati mbili mfululizo, lakini waganda nao wakakosa penati mbili kati ya tatu walizopiga, hadi mpira unaisha wabongo walipata penati 3 Cranes wakibahatika na 2 pekee hivyo kuwapa Kilimanjaro Stars ushindi wa jumla ya mabao MATANO kwa MANNE . Awali watanzania wengi walisikika mitaani wakiwa wamek

Glasgow 2014: Jonathan Boyd to design Commonwealth Games medals

Image
Jonathan Mathew Boyd An award-winning silversmith is to design the medals awarded at next year's Commonwealth Games in Glasgow. Jonathan Mathew Boyd lecturers at Glasgow School of Art (GSA), from where he graduated with first class honours. The 29-year-old, who lives in the city, uses digital technologies in his work as well as hand crafted skills and traditional metalworking techniques. Boyd described the commission as "humbling and extremely exciting". His design will be unveiled next year. Boyd said: "I love the city of Glasgow and have lived here for most of my adult life; to be given this important opportunity and to showcase my admiration for the city is both humbling and extremely exciting. 'Special place'   "I have always thought of Glasgow as a unique and special place - one that thinks and does things differently.  "I hope in my design I can reflect Glasgow's industrial past, capture s