Posts

Kudumisha amani: Wanariadha wajifua kwa Mvomero Half Marathon

Image
Anthony Mtaka/DC Mvomero na waziri Nyalandu WANARIADHA mkoani hapa wameanza mazoezi kujiandaa na mbio za nusu Marathon za Mvomero ‘Mvomero Half Marathon’ yanayotarajiwa kufanyika Januari 12, 2013. Wakizungumza na Tanznia Daima kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanariadha hao walisema wameanza mazoezi mapema kwa lengo la kujiweka fiti zaidi ili kufanya vizuri kwenye mashindano hayo. Thobias Mkude ambaye ni miongoni mwa wanariadha chipukizi katika mbio hizo, alisema amekuwa akijifua asubuhi na jioni kwa lengo la kufanya vizuri kuuwakilisha vema mkoa wake. “Nimeshaanza mazoezi asubuhi na jioni, lengo langu nataka kuipeperusha vema bendera ya mkoa wa Morogoro katika mashindano hayo,” alisema Mkude kuelekea mbio hizo ambazo uwepo wake ni kuibua vipaji. Kwa mujibu wa waratibu, mbali ya vipaji mbio hizo zinafanyika kudumisha umoja na mshikamano miongoni mwa jamii ya wafugaji na wakulima ambao mara kadhaa wamekuwa wakiingia kwenye mapigano kutokana na mifugo na ardhi.

ARCHIVE: The invention of the first Aeroplane and formation of Airbus A 380

Image
Airbus A 380 'The largest plane ever made in the history of aviation industry The first plane was invented by American brothers Wilbur and Orville Wright ; Wilbur   (August 19, 1871 – January 30, 1948) and Orville Wright   (August 19, 1871 - ) back in December 17, 1903 . Their fundamental breakthrough was inventing the three axis control. It enabled them to effectively steer the aircraft and to maintain its equilibrium. The first flight by Wright brothers on December 17th 1903 The cost of an Airbus A 380 as of the year 2011 was approximated US 375.3 million . This can be converted to approximately   Euros 260 million or £229 million. The Airbus A380 is the largest passenger airliner in the world. The grate inventors Wilbur and Orville Wright  If the plane (Airbus A 380)   is serving in a standard "three-class" configuration, then the capacity is 555 people. But, if the entire plane is just the economy class, then the capacity is 853 people .

Tanzania Civil Aviation Authority: ETHIOPIAN AIRLINES BOEING 767–300ER FLIGHT NO. ET 815 UNSCHEDULED LANDING AT ARUSHA AIRPORT

Image
Yesterday at 1247pm (local time), Ethiopian Airlines aircraft type Boeing 767-300ER with a total number of 213 passengers and crew, made an unscheduled landing at Arusha Airport.  The aircraft with registration number ET-AQWwas operating a regular scheduled flight ET 815 from Addis Ababa to Kilimanjaro and thereafter was supposed to proceed to Mombasa.  The aircraft was scheduled to land at Kilimanjaro International Airport (KIA) at 1255 pm. The aircraft established radio contact with Kilimanjaro Control Tower at 1229pm and was instructed to continue with his flight and report when having the airport (KIA) in sight. Thereafter the pilot reported having the field in sight and was allowed to continue visually to enable him land in westward direction (runway 27).  After the pilot reported on left base of runway 27 (and having the field in sight), the Air Traffic Controller cleared the aircraft for landing. The Air Traffic Controller after a while without sighting the aircraft

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni: Kesho ni mbio za Karatu Sports Festival

Image
Mbio za Karatu Sports Festival kesho zinapigwa mjini Karatu mkoani Arusha kwa hisani ya Kamati ya Olimpiki Tanzania ikiwa ni tawi dogo la Kamati ya Olimpiki ya Dunia. Kwa vile ni haki kujali jitihada zozote zinazofanywa na wadau wa michezo sina budi kuwakumbusha waandaaji mbumbumbu wanaotimukia kuandaa ‘gemu zisizo zao’ wajifunze angalau jambo moja ama ama zaidi ya moja katika mbio za kesho. Kwamba si lazima uwaalike wakenya ama mataifa ya mbali ili kuwadanganya wadhamini wakukubalie! Ikumbukwe kuwa sababu kubwa ya kuandaa mashindani ni kuhamasisha watanzania na kuwawezesha ili kuibua vipaji vipya. Hivyo siyo haki kutangazia umma kwamba Gebresselassie na Kiplagat wanakuja kumbe uongo mtupu ! ‘UHURU MARATHON WALITUMIA VYOMBO VYA HABARI KUPOTOSHA UMMA MAKUSUDI’   Pamoja na mengineyo utapeli uliofanyika kwa kumnyima zawadi mshindi wa NNE mtanzania wa Mbulu (ALEX SANKA) na kumpa mkenya zawadi hiyo, hadi leo mtanzania huyo anateseka kudai fedha alizozishinda kwa n

IOC awards 2014-2016 broadcast rights in New Zealand and Pacific Island Territories

Image
The International Olympic Committee (IOC) has awarded SKY Network Television Ltd the right to broadcast the XXII Olympic Winter Games in Sochi, Russia, in 2014, and the Games of the XXXI Olympiad in Rio de Janeiro, Brazil, in 2016.  SKY has acquired the broadcast rights on all media platforms in the following territories: New Zealand , Cook Islands , Fiji , Kiribati , Marshall Islands , Federated States of Micronesia , Nauru , Niue, Palau , Independent State of Samoa , Solomon Islands , Tonga , Tuvalu and Vanuatu .  IOC President Thomas Bach said: “The IOC is delighted to have reached this agreement with SKY. With 13 medals, the New Zealand Olympic team enjoyed one of its strongest ever performances at London 2012 . We look forward to working with SKY to ensure that fans in the region will enjoy fantastic broadcast coverage of their athletes competing in Sochi and Rio .”   IOC Finance Commission Chairman Richard Carrión , who led the negotiations, said, “We work