Posts

Tanzania: Sokoine Marathon to Become International Event

Image
AFTER running for two consecutive years, the annual Sokoine Marathon will now be registered to become one of the international races and be included in the world marathon timetables . Race coordinator Wilhelm Gidabuday said until now the Sokoine Marathon was being supported by the family of the late Prime Minister, Edward Moringe Sokoine, through his daughter, Namelok, but once the event goes international, it will be able to generate its own running costs. "We don't want the family to keep funding the race but rather the event should now be supporting the Sokoine Foundation," stated Gidabuday, who hails from Hanang'. The 2014 Sokoine Marathon which went in-sync with the 30th Anniversary of the late premier's death in Monduli, raced for 10 kilometres. Fabian Joseph, the 2005 World Half Marathon Champion (held in Edmonton, Canada), won the event and was awarded 500,000/- and a trophy by President Jakaya Kikwete. Big names dominated the So

Fabian Joseph, Jackline Sekilu mabingwa Sokoine Min Marathon 2014

Image
BINGWA wa mbio za Edmund World Half Marathon nchini Canada mwaka 2005, Fabian Joseph, na bingwa wa Kili Marathon 2014 kwa wanawake, Jackline Sekilu, wameibuka washindi wa Sokoine Min Marathon 2014, katika mashindano ya Kumbukumbu ya Miaka 30 ya kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, hayati Edward Moringe Sokoine, yaliyofanyika jana mjini hapa. Fabian aliibuka mshindi wa kwanza wa mbio hizo za kilometa 10 kwa kutumia dakika 34:28:04 na kufuatiwa kwa karibu na Alphonce Frank wa Shule ya Winning Spirit aliyetumia dakika 34:41:89 na nafasi ya tatu ikiangukia kwa mwanariadha Dickson Marwa wa Holili, aliyetumia dakika 34:57:47. Kwa kuibuka kidedea, Fabiani amezawadiwa fedha taslimu shilingi 500,000, kombe, medali na cheti maalum, wakati mshindi wa pili akipata shilingi 400,000, medali na cheti, huku mshindi wa tatu akipata shilingi 300,000, medali na cheti. Wanariadha wengine waliomaliza katika kumi bora na timu zao kwenye mabano ni Gabriel Gerald (Wining Spirit

Yaliyojiri Sokoine Mini Marathon 2014

Image
MWISHONI mwa wiki, Aprili 12 mwaka huu, macho na masikio ya Watanzania wengi yalielekea katika Kijiji cha Monduli Juu, kilichopo Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha, kufuatilia kumbukumbu za miaka 30 tangu kufariki kwa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Edward Moringe Sokoine. Maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa na viongozi wa ngazi za juu wakiongozwa na Rais Jakaya Kikwete, yaliadhimishwa kwa matukio mengi ya kukumbukwa, lakini moja ya matukio yaliyotokea katika kumbukumbu hizo, ni msimu wa pili wa mbio za Sokoine Mini Marathon mwaka 2014. Mbio hizo zilianza majira ya saa mbili asubuhi, ambapo pamoja na kuwepo kwa ushindani mkubwa, kulikuwa na matukio mengi yasiyo ya kawaida, likiwemo la wanariadha kulazimika kupisha magari. WANARIADHA WANASA KWENYE TOPE Zikiwa zimesalia takribani kilomita mbili mbio za kilomita 10 zimalizike, wanariadha walijikuta wakibadilishana baada ya njia kujaa matope huku kukiwa na mgari mengi yaliyokwama barabarani. Tukio hilo lili

MABADILIKO: Sokoine Marathon itakuwa kilomita 10 badala ya kilomita 21

Image
Tunaomba radhi kwa kufanya mabadiliko ya ghafla! Hiyo ni kutokana na mashauriano kati yetu sisi waandaaji, Chama Cha Riadha Mkoa   na wanariadha wenyewe. SABABU KUU: Imeamuliwa kwamba siyo vizuri kuwakimbiza wanariadha mbio ndefu mara mbili kwa wiki moja sababu pia kutakuwa na Ngorongoro Half Marathon April 19, 2014. Familia imeridhia ombi letu na pia imekuwa wazo zuri kwa wanariadha wazoefu ambao wanafahamu athari za kukimbia mbio ndefu mfululizo. Pia wananchi wengi sasa wataweza kushiriki Kilomita 10. Taratibu zingine hadi sasa zipo kama ilivyopangwa, ila namba zinasajiliwa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid Karume. Tsh: 2,000 tu kwa kusajili namba yako. ZAWADI ZITATOLEWA KWA WASHINDI.

Kenenisa Bekele: The Ethiopian superstar outruns the field in Paris Marathon

Image
Kenenisa Bekele, an Ethiopian long-distance runner and three-time Olympic champion, won the Paris Marathon on Sunday, finishing the 42.195km (26.22 miles) race in a record 2hr 5min 02secs. The previous record for the Paris Marathon was held by Kenya's Stanley Wiwott, who clocked 2hr 05:10 in 2012. The race was Bekele’s first marathon. "I didn't have much experience," Bekele said. "It was very tough but it was the time I expected.” Bekele made his move with about 25km to run and opened up a lead that may have been even more significant had he not struggled with a hamstring problem. "The hamstring wasn't good after 25km. It was cramping but it's ok. I'll feel it more in the morning," explained Bekele. He missed out on the world record, which is held by Kenyan Wilson Kipsang who set a mark of 2hr 3min 23secs in 2013 at Berlin. (FRANCE 24 with AFP)