Posts

AJALI BARABARANI: Rage apata ajali ya gari

Image
MWENYEKITI wa Simba aliyemaliza muda wake, Ismail Aden Rage, jana amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya agari eneo Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akiingia mjini humo kwa ajili ya kuhudhuria vikao vya Bunge Maalum la Katiba linaloanza leo.    Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia Tanzania Daima wakati likienda mitamboni, zilisema kuwa Rage amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma, akiwa na majeraha aliyoyapata yeye na watu wengine alioongozana nao katika gari moja. Saa chache kabla ya ajali hiyo, Rage alizungumza na Tanzania Daima na kuuushangaa uongozi mpya wa klabu ya Simba chini ya Rais Evans Aveva kwa taarifa yake kuwa umerithishwa deni la sh. mil. 250 na kuutaka kulitolea ufafanuzi, huku yeye akiahidi kuongea na wanahabari kuzungumzia sakata hilo. Aveva, juzi alibainisha kuwa uongozi wake unakabiliwa na changamoto nzito ya uendeshaji, baada ya kurithi deni hilo, huku wakiachiwa akaunti tupu. Alisema walichokuta ni sh.

DENIS MALLE: Mtaka na Nyambui mnasubiri nini?

Image
Dennis Malle ni Mwl wa Mary Naali Michezo ya 20th ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola inayofanyika Glasgow Scotland kuanzia 23July hadi 3August 2014. Nataka kutoa maoni juu ya timu ya Tanzania iliyoenda huko Glasgow. Kwa ujumla kuna jambo kubwa inabidi sasa Watanzania hasa wadau wa michezo na viongozi wa michezo waamini kuwa wanamichezo wanaopelekwa kuwakilisha nchi katika michezo ya Kimataifa wawe ni wale tu walio katika maandalizi mazuri yaani walio mazoezini kila siku tena mazuri yaani wawe wana matokeo mazuri ya siku za karibuni kabla ya kuchaguliwa kuunda timu ya Taifa. Kwa wenzetu walioendelea kimichezo kambi za Taifa zinatumika kuwaunganisha wachezaji kitimu tu. Hapa kwetu ni kinyume wanaachwa wanamichezo walio sawa kwa wakati huo na kuwa chukua ambao hawako vizuri. Hilo lilionekana wakati wa kuchagua wanariadha watakaoenda kambi nje ya nchi kwa msaada uliotolewa na waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Mheshimiwa Bernad Membe. Chama cha Riadha

Glasgow: James Kiplagat takes the Gold in the 1500m

Image
James kiplagat Magut from Kenya won the men's 1,500m final in 3:39,31, at the 2014 Commonwealth Games in Glasgow. Another Kenyan Kwemoi took 2nd followed by Willis of Newzealand for third. Tanzania took 8th place by Baynit.

Glasgow 2014: Uganda's Kipsiro outkicked the Kenyan in the 10000m

Image
Uganda's Moses Kipsiro winning the 10,000m at the 2014 Commonwealth Games. Kenyan thought he won it but Kipsiro got it in the inner line. Moses Kipsiro wins while Josphat Bett of Kenya took 2nd and Shaba Levins of Canada got 3rd in the 10,000m finals.

Amos upstages Rudisha in Glasgow

Image
With an explosive final burst, Botswana's Nijel Amos has proven Commonwealth Games gold isn't a given even for true sporting royalty. Amos produced the upset of the Glasgow Games so far as he turned the tables on Kenyan track legend David Rudisha in Thursday's 800m final. World record holder and Olympic champion Rudisha, one of the world's most dominant track athletes in recent years, turned for home in front on a rain-sodden track at Hampden Park. But the 25-year-old's 2013 injury woes caught up with him over the last 100m as as Olympic silver medallist Amos stormed home to claim victory in one minute and 45.18 seconds. Rudisha, failing to replicate several reigning Olympic champions who have dominated in track and field this week, took silver in 1:45.48 with South Africa's Andre Olivier taking bronze in 1:46.03. "I'm a little bit sad, but I'm fine," said Rudisha, who missed most of last season due to a knee injury. "I wo

Tanzania: BFT Awaits Glasgow Report

Image
Makore Mashaga / BFT General Secretary THE Boxing Federation of Tanzania (BFT) is waiting for a report from the team that represented the country at the 20th commonwealth Games in Glasgow, Scotland to determine the cause of the lackadaisical performance. BFT Secretary General Makore, Mashaga told the 'Daily News' yesterday their team will need to give an in-depth explanation over the disappointing results in Scotland. "I can't state why they performed that way, but we need a technical report when they get back, to know the reasons behind the poor performance in Glasgow," he said. Makore noted that they expected good results from the boxers as they were well prepared and the country invested a lot in the team. "Surely, I had great expectations on the boxing team. We trained them from 2009 but they started preparing for the Commonwealth Games since early April last year. They also had an intensive two-month training abroad sponsored by the governm

Tennis prodigy wins one year scholarship

Image
Tanzania tennis prodigy Omar Sulle has won a one year International Tennis Federation’s scholarship tenable at Confederation of African Tennis (ITF /CAT) center based in Casablanca, the Tanzania Tennis Association (TTA) president Fina Mango confirmed yesterday.   Mango said Sulle becomes the first Tanzanian to won a scholarship at the newly opened center. She described   this as the biggest development to the young player who has been based at ITF /CAT East Africa center in Bujumbura for three years.   She said recent performances by the 14-year old player have prompted ITF/CAT to offer him the valuable scholarship.   Mango said Sulle will leave the country mid next month as he is expected to be in Casablanca on August 18.    ‘Sulle is one of the greatest young Tanzania tennis players, he is very good, disciplined and talented, this is the greatest opportunity for him to learn more things, as the association we are very proud of him and we wish him a very s