Posts

Mo Farah is on the mission to break all European records

Image
Mo Farah improved on a 36 years old European best for 2 miles to bring the Sainsbury's Birmingham Grand Prix to a rousing finish at the Alexander stadium. Fara produced a solo run second mile of almost exactly four minutes to win in 8:0785, eclipsing Steve Ovetts 1978 mark for the non championships event by six seconds. ‪ IAAF Diamond League meeting on 24 August 2014.

Bondia Mafuru akana kuugua tumbo Madola

Image
BAADA ya Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) kusema linaendelea na uchunguzi kubaini sababu iliyofanya bondia Nasser Mafuru ashindwe kupanda ulingoni, bondia huyo anawashangaa waliosema aliugua kwani alikuwa fiti kiafya. Mafuru hakupanda ulingoni katika mashindano ya Jumuiya ya Madola ambayo yalimalizila Agosti 3, huko Glasgow, Scotland kwasababu walizodai kwamba alishikwa na tumbo la kuharisha. Mafuru alisema kwa njia ya simu jana, kuwa alikuwa mzima na hajawahi kuumwa tangu walipofika katika mashindano hayo, na kwamba walichelewa kufika eneo ukumbini viongozi ambao aliongozana nao ndio waliotoa sababu za kuugua. “Mimi sikuugua nilikuwa mzima, lakini tulichelewa kufika ukumbini nilikuwa nishajiandaa baada ya kufika tukakuta wanamtangaza bingwa Yule ambaye nilitakiwa kucheza naye lakini nawashangaa waliosema kwamba nilikuwa naumwa wakati tulikuwa na daktari ambaye naye hakujua kuumwa kwangu,” alisema Mafuru. Aidha, Ma

Going sub-19 seconds for 200m is a possibility, says Bolt

Image
Five years on from setting his 100m and 200m world records, Usain Bolt says breaking 19 seconds for the half-lap event remains his goal On August 16, 2009, Usain Bolt broke the world 100m record in Berlin and four days later did the same over double the distance. Five years on, the six-time Olympic gold medallist says breaking 19 seconds for 200m remains his goal and is an achievement that he believes is a “possibility”. Having struggled with injury in 2014, Bolt has ended his season early and is targeting a return to training in October ahead of a year which includes the IAAF World Championships, an event at which the 28-year-old has won eight gold medals. Your 100m record has now stood for five years. Why do you think it has remained for so long? Usain Bolt: I don’t know really. For me, I’ve struggled with injuries over the past five years, so it’s been hard to be in the condition that I was in Berlin to really challenge that record. In London I felt good and I

Viongozi wa michezo nchini ‘janga la Taifa’

Image
Mhe.Dr.Fenella Mukangara / Waziri wa Michezo Wakati wa utawala wa Baba wa Taifa, Marehemu Julius Kambarage Nyerere, Tanzania iliingia kwenye rekodi ya mataifa tishio barani Afrika katika michezo. Wakati huo, wanamichezo wa taifa waliaminika kwa Watanzania kila waliposema wanakwenda kushindana nje ya nchi. Si kama Tanzania ilishushiwa muujiza bali ilitokana na namna viongozi wa Serikali na wale wa michezo wa wakati huo walivyotambua wajibu wao. Historia zinaonyesha namna michezo ilivyofanyika kwa mpangilio kuanzia ngazi za shule, kata, wilaya, mkoa na taifa, vipaji vilionekana na Taifa likafanya vizuri kimataifa. Tanzania iling’ara kwenye mashindano ya Olimpiki, Jumuiya ya Madola na Afrika wakati huo kutokana na namna taifa lilivyotengeneza timu za ushindani kuanzia ngazi ya wilaya, mikoa na hata taifa hivyo kuwa na akiba ya vijana wengi wenye vipaji vya michezo. Tofauti na sasa ambapo kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo jahazi la michezo ya Tanzania linazidi ku

Filbert Bayi aishangaa Serikali

Image
Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Filbert Bayi amesema ripoti ya timu za Tanzania zilizoshiriki michezo ya Jumuiya ya Madola imekwama baada ya Serikali kutaka wanamichezo wote waliokwenda Scotland kuhusishwa wakati itakapowasilishwa kwao. Bayi alisema Serikali imetaka wachezaji walioshiriki kwenye michezo hiyo kuwepo wakati vyama vyao vikiwasilisha ripoti zao za Madola. “Ripoti zimechelewa kwa kuwa Serikali imetaka wanamichezo wote waliokuwa Scotland kuwapo katika kikao cha tathmini, hiyo ni gharama, hivyo tuko kwenye mchakato wa kutafuta fedha ili kufanikisha hilo,” alisema. Alisema gharama za kufanya tathmini hiyo ni Sh 8 milioni, ambazo pia zitatumika kuwagharamia wachezaji wa mikoani walioshiriki michezo hiyo kuja Dar es Salaam ili kushiriki katika tathmini hiyo. “Hii ni mara ya kwanza ripoti ya Madola na tathmini yake kufanyika kwa kushirikis

Stars legends ready for Real Madrid encounter

Image
(TFF) president Jamal Malinzi (L) looks on as former Real Madrid player Reuben De la Red, (3rd-R), exchanges note with TSN group managing director Farouk Baghoza in Dar es Salaam yesterday. Tanzania XI assistant head coach, Jamhuri Kihwelo, is confident that his squad will outshine Real Madrid legends on Saturday at the National Stadium. Speaking yesterday, Kihwelo said his team was physically fit and ready to take on the Real legends. The outspoken coach, who should also have played on Saturday, said only three players were missing from the camp while disclosing that goalkeepers, Mohamed Mwameja and Peter Manyika have already joined the team. According to him, the players, who hung their boots several years ago, are fit enough to play any top team after just a few days of training. He singled out Yusuf Macho, Abdul Maneno, Abdul Mashine, Said Maulid as among those who are still on top of their game. “We’re ready for them, I am sure that our legends will play

Pete Magill: How to Avoid Slowing Down As You Age

Image
Pete Magill of Southern California Pete Magill is one of the top masters runners in the United States. Over the past decade, he’s led his Southern California clubs to 17 masters national championships in cross country and road racing. He’s won the individual title in six masters national cross country championships, holds five American age group records, and is the oldest American to break 15:00 for 5K, running 14:45 at the distance a few months before turning 50. He is also the fastest American distance runner over age 50 in the 5K (15:01) and 10K (31:11) and second fastest half-marathon (1:10:19). Pete is also a coach having coached runners at the youth, high school, open, and masters levels. He’s also a senior writer for Running Times magazine where he shares his training insights and has just released a new book titled Build your Running Body , which takes an approach to building the parts of your body necessary for successful running vs focusing on mileage alo