Posts

Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’

Image
Safari hii, serikali kwa kutumia uhusiano wake wa kitamaduni na nchi za China, Uturuki, Ethiopia na New Zealand iliweza kutuma wanamichezo wake kwenye nchi hizo tofauti kulingana na mazingira mazuri ya mchezo fulani ili waweze kujiandaa ipasavyo. Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Julai 23 kwenye Uwanja wa Celtic Perth. Michezo hiyo muhimu hushirikisha nchi wanachama wa jumuiya hiyo ambazo ziliwahi kuwa koloni la Uingereza na mwaka huu inatarajiwa kushirikisha mataifa 71 ambayo yatachuana katika michezo 17 tofauti itakayofikia tamati Agosti 3. Katika michezo hii Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wanamasumbwi, wanariadha, kunyanyua vitu vizito, mpira wa meza, wachezaji judo, waendesha baiskeli na waogeleaji ambao tayari wameshawasili kwenye kijiji cha michezo nchini Scotland tayari kwa mi

Usain Bolt, Mo Farah Aim for Glasgow Gold

Image
Glasgow: Olympic champions Usain Bolt, Mo Farah and Bradley Wiggins headline a host of star names hoping to bury injury problems and selection snubs to strike gold at the Commonwealth Games. The biggest ever multi-sport event to take place in Scotland will see 4,500 athletes from 71 nations take part across 18 sports. A total of 261 medal events will take place across the 11 days of competition, including the highest ever number of para-sport events with 22 gold medals up for grabs across five sports. The 20th edition of the Games will officially be opened by Queen Elizabeth II on Wednesday with a ceremony at Celtic Park. Attention will then turn to the action itself with Bolt looking to add Commonwealth gold to his six Olympic and eight World Championship gold medals. However, the 27-year-old will only be running as part of the Jamaican 4x100m relay team as he missed the Jamaican championships which served as the selection meeting for the Commonwealth Games due to

Nyambui: Niliomba nifungwe miaka 100 jela

Image
Kocha wa timu ya taifa ya riadha na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amesema aliomba afungwe miakba 100 jela kama ikibainika anajihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya. Kocha huyo mpya wa timu ya taifa alisema bado anateswa na ‘mzimu’ wa kashfa ya kusafirisha dawa za kulevya iliyowahi kumkabili, kashfa iliyoichanganya familia yake na yeye mwenyewe. Nyambui aliliambia gazeti hili katika mahojiano maalumu kuwa, katika maisha yake ya riadha tangu akikimbia miaka 1970 hadi hivi sasa akiwa ni kocha na katibu mkuu, hakuna changamoto kubwa ambayo hataisahau kama siku alipoitwa kuhojiwa juu ya tuhuma hiyo. Kigogo huyo wa RT alisema alijikuta akiingia matatani na kuhojiwa na kitengo cha kudhibiti dawa za kulevya hapa nchini kwa saa sita mfululizo juu ya kuhusika kwake na uuzaji na usafirishaji wa dawa za kulevya. “Kiukweli watu wa kitengo cha kudhibiti  dawa  za kulevya walikuwa na vielelezo vyote vya nam

ATHLETICS: Kiplagat buries Kiprop dream

Image
Silas Kiplagat produced the shock of the IAAF Diamond League meeting in Monaco as he out sprinted domestic arch-rival, the Beijing Olympics and two-time world champion compatriot Asbel Kiprop, who was chasing the world record, with a blistering 3:27.64 world leading personal best on Friday night. On the night, Kiplagat’s thrilling performance made him the fourth fastest man in history that was also a Diamond League record, trimming 0.08 off the time Kiprop set in winning here last year. For the two-time world champion, who finished in a season’s best of 3:28.45, it was a huge anti-climax after he had prepared for an attempt on Hicham El Guerrouj’s 16-year-old world record of 3:26.00 by setting the fastest 800m time of the year, 1:43.34, at the Diamond League meeting in Paris earlier this month. “At 1200m I knew the race was too slow,” Kiprop told the IAAF website. “We went through in 2.47 and I had asked for 2.45. In the home straight, I could see the others behind me on th

Germany is World Cup champion 2014

Image
Germany claimed their fourth World Cup win defeating Argentina 1-0 in the 2014 final at the Maracana in Brazil on Sunday. Argentina defied the Germans for 90 minutes regulation time and into the second half of extra time. But with seven minutes left before penalty kicks Mario Goetze slipped behind the Argentina defence to smash into the far corner. Centuries ago Spain and Portugal conquered South America leaving their language behind. Now it’s the turn of the Germans and they are leaving with the World Cup. The Germans demolished the hosts Brazil 7-1 in the semi final before returning to take a hard fought final. Germany enjoyed the majority of possession in the first half and came close to scoring in the dying moments but the score ended 0—0 as the teams battled for supremacy. In an evenly contested affair both teams had their moments. In the fourth minute Argentina’s Gonzalo Higuain sent a chance wide to the relief of the Germans.  The Argentines also hit

Tanzania Athletes Flop in Dar

Image
SOME athletes who will represent the country at the forthcoming 20th Commonwealth Games have proved a failure in the two-day National Athletics Championship which ended at the National Stadium in Dar es Salaam. In men's 10,000 and 5,000 meters, Dickson Marwa of Mara and Joseph Theophil dominated the two races and scooped the top positions. Marwa was in the list of athletes earmarked to go to Ethiopia to prepare for the Commonwealth Games set for July 23 to August 3 in Glasgow, Scotland but his name was removed because he was regarded to be old. In 10,000-meters race on Saturday, Marwa won the 10,000m after clocking 28:30.82 while Fabian Nelson and Wilbeard Peter who had camped in China finished fifth and seventh in 28:59.96 and 29:49.35 respectively. Marwa also excelled in 5,000m, winning the race in 13:38.61 followed by Nelson in 13:39:58 while Peter was ninth in 14:05:59. Theophil, who was second in 10,000 meters, finished third in 5000m. Another Glasgow-bound sprinter G

Umuhimu wa Katiba: Riadha taifa ni aibu

Image
Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Ndivyo ilivyokuwa kwenye mashindano ya taifa ya riadha yaliyoanza jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Licha ya kukosa msisimko, aibu nyingine imelikumba Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), baada ya kukosekana kwa vijiti vya relay, namba za kukimbilia na vibendera vinavyotumika kwenye mashindano wakati wa mbio za ufunguzi hapo jana. Gazeti hili lililokuwepo uwanjani hapo tangu mbio zinaanza lilishuhudia mmoja wa wadau wa RT akijitolea kofia yake yenye rangi nyekundu iliyotumika  kama kibendera sambamba na waandaaji kutumia karatasi nyeupe kama kibendera kingine. Wakati wa mbio za mchujo za mita 100 mara nne, wakimbiaji walilazimika kutumia mbao zenye mfano wa vijiti vya relay kutokana na kutokuwepo kwa vijiti  halisi vya mbio hizo. Kocha Shaban Hiki alipoulizwa juu ya vijiti hivyo alisema ni vya muda na vimetengenezwa ili viokoe jahazi. “Vijiti halisi tumeambiwa vimeibwa hivyo vimetengenezwa hivi ‘local’,” a