Posts

Nyambui ataka kung’atuka RT

Image
Katibu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui amemtaka mtu yeyote anayeweza kuongoza chama hicho ajitokeze ili yeye ang’atuke na kumwachia madaraka. Nyambui alisema katika mahojiano kuwa yuko tayari kujiuzulu wadhifa huo ndani ya RT kama atatokea mtu ambaye anadhani akimwachia cheo hicho ataweza kuleta mafanikio katika mchezo huo. Kigogo huyo wa RT alisema amekuwa akifanyiwa fitina na baadhi ya watu waliowahi kumshawishi kuungana nao ili wapate fursa ya kuitumia RT kufanya maovu yao, lakini walipokumbana na ‘kigingi’ chake wameanza kumfanyia fitina. “Baadhi ya watu wananizungumzia vibaya. Lakini niko tayari kuondoka RT hata leo kama mimi ndiyo kikwazo cha mafanikio ya riadha endapo tu akitokea mtu ambaye atanithibitishia kuwa ana uwezo wa kuleta mafanikio,” alisema Nyambui. CHANZO: Mwananchi

Thadeo calls for fair refereeing

Image
National Director of Sports Leonard Thadeo presents Asma Shafi with a certificate for taking part in a five-day Copa Coca-Cola referees and coaches course at the National Stadium in Dar es Salaam over the weekend. Photo | Michael Matemanga   The National Director of Sports, Leonard Thadeo, has exhorted football referees in the country to observe fair play and abide by the laws of the game while officiating matches at various tournaments. Thadeo made the call during the official closing of a five-day referees and coaches course for the forthcoming U15 Copa Coca-Cola tournament at the National Stadium over the weekend. He said that in recent years there has been an outcry on biased refereeing and challenged the referees to live up to the public expectations of advocating ‘nothing else but fair decisions’. “After all, this is a career you have chosen to earn your living from and we don’t expect you to be lured by gifts or money at the expense of jeopardising your career,”

Tufanye sensa ya vyama vya michezo nchini

Image
Dioniz Malinzi / Bosi wa Baraza la Michezo Tanzania Mwaka 2014 unakaribia kumalizika. Ni dhahiri hali ni mbaya katika medani ya michezo nchini na hiyo ni kutokana na matokeo tuliyoona kwa timu na wanamichezo wetu. Kimsingi, Tanzania imeharibu na kutia aibu kuanzia soka, ambayo ndiyo mchezo maarufu, hadi michezo mingine. Viongozi wenye dhamana katika michezo na wao wanaingiza siasa badala ya kuangalia nini wajibu wao na kwa chama na manufaa ya taifa. Tumewahi kupiga kelele sana katika eneo la michezo kuwa udhaifu wa uongozi na hasa kwa kutokuwa na dhamira na dira ya maendeleo, ndiyo kunachangia kutopiga hatua. Kuvurunda kwa wanamichezo wa Tanzania katika mashindano mbalimbali, kutokana na kukosa umakini na zaidi ni udhaifu wa uongozi katika vyama na klabu. Kwa jinsi hiyo, itachukua muda mrefu Tanzania kupiga hatua katika michezo kama mfumo wa utendaji ndani ya vyama hautabadilika. Kutokana na msingi huo, kuna haja kwa mamlaka inayohusika na michezo yote kufany

Okwi arejea Simba

Image
Emmanuel Okwi /Mchezaji maarufu wa soka HATIMAYE mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, jana amesaini kuichezea klabu yake ya zamani ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili. Habari zilizopatikana jana jioni, zilisema nyota huyo ambaye hatima yake ndani ya klabu ya Yanga ilikuwa gumzo kubwa, jana alitarajiwa kusaini mkakaba huo kuwatumikia Wekundu wa Msimbazi kwa kipindi kingine. Kurejea kwa Okwi Msimbazi, kunamweka katika wakati mgumu mchezaji Benard Musoti, nyota wa kimataifa wa Kenya, kwani sasa ni yeye sasa anayechungulia dirisha la kutokea, ama Pierre Kwizera. Okwi kutua Simba, ni kama kurejea nyumbani kwani ndio klabu aliyojiunga nayo kwa mara ya kwanza nchini akitokea Uganda na kung’ara nayo, kabla ya kuihama na kujiunga Etoile du Sahel ya Tunisia na kisha Yanga. Sheria za usajili za Ligi Kuu Tanzania Bara zinataka klabu kuwa na nyota wa kigeni wasiozidi watano na mbali ya Okwi, nyota wengine wa kimataifa katika kikosi cha Simba ni, Raphael Kiongera, Joseph O

Michezo: Tufanye yafuatayo ili tusonge mbele

Image
Bernard Membe/Waziri mambo ya Nje Viongozi wa vyama vya michezo wanapaswa kurejesha serikalini ripoti ya jinsi maandalizi, safari na mashindano yalivyofanyika wakati wa mashindano ya Glasgow. Itakuwa ni kosa kubwa iwapo vyama vya michezo vitakabidhi ripoti zao kwa mkurugenzi wa michezo, badala yake viongozi wa vyama wakabidhi wenyewe. Pia itakuwa ni haki kabisa wataalamu wa michezo husika kushirikishwa siku ya ripoti hiyo kuwasilishwa ili nao watoe ushauri wao wa kitaalamu. Wachezaji walioshiriki pia wahusishwe ili waweze kusema yao ya mioyoni kwa uhuru na uwazi. ‘Hayo yakifanyika tutafanya vizuri safari ijayo kwani tutakuwa tumejua wapi tulijikwaa’

Tanzania Struggles in School Games

Image
Team Tanzania during the opening ceremony in Dar Es Salaam Tanzania TANZANIA'S Makongo Secondary School triumphed 79-73 in a thrilling basketball match of the East Africa Secondary School Games at the National Stadium in Dar es Salaam on Wednesday. However, the going is not all that smooth for the hosts as Makongo lost their three netball matches, including yesterday's massive 63-11 defeat to St Kitende of Uganda. Jitegemee head coach Christina Kabamba attributed her team's poor show to inferiority complex and ruled out any chance of advancing to the finals. Another Tanzanian side, Kizuka Secondary School, lost 36-30 to Shimba Hills of Kenya in netball. In volleyball, St Aloys Girls of Rwanda defeated Makongo 3-0 as Lycee De Nyanza of Burundi thrashed Tanzania's Kilabela 3-0. SOURCE: Daily News

Athletes now ready for FEASSA Games

Image
Athletes who are to compete at the ongoing Federation of East Africa Secondary School Associations (FEASSA) Games promised their readiness ahead of their action tomorrow.    Athletes from Kenya, Rwanda, Zanzibar, Burundi, Uganda, South Sudan and the host Tanzania will compete at the Games at the National Stadium in Dar es Salaam.   With all games now in progress at various venues, Tanzanians are expected to win many medals in athletics.     Speaking at the training session yesterday, Tanzania athletics coach Mohamed Hussein said preparations were going well and he was pleased with his athletes who will compete in 100m, 200m and 400m.   He called all Tanzanians to cheer the team, so that medals are to remain home.   18-year-old Tanzanian athlete Adinan Haroun Chongoe expressed his readiness, saying the preparations were good and he cannot wait to give his home country the first athletics medal in the Games.   Chongoe also called upon all Tanzanians to s